fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Yani tulikuwa tukingia ndani ya club tunanza kucheza na watoto wa kike walikuwa wazuri orignal sio hawa wasiku hizi, ngozi zinavutwa mpaa zinakaribia kufika kwenye kisogo chao.
Mchina kishwa wa haribu na madawa yake, yani wakipata karibu yako unasikia wananuka kama njiwa kaoza vile.
WAKUU MNAUKUMBUKA HUU WIMBO...
Mchina kishwa wa haribu na madawa yake, yani wakipata karibu yako unasikia wananuka kama njiwa kaoza vile.
WAKUU MNAUKUMBUKA HUU WIMBO...
Last edited by a moderator: