Issuna
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,168
- 7,513
Hospitali hii pamoja na kuendeshwa na shirika lisilo la Kiserikali, hivyo hailipi kodi, inatoza gharama kubwa katika matibabu yake.
Ingawa ni kweli kwamba ndio hospitali yenye vifaa bora pengine kuliko hospitali nyingine nyingi ukiiondoa Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Pia ni Hospitali ambayo imekuwa na mchango mkubwa hasa kuokoa maisha ya wananchi.
Lakini kwa nini wasipokee wagonjwa wa NHIF? Ubaguzi huu wa nini?
Mhe. Rais aliwahi kuzungumza na Mtukufu Aga Khan alipotembelea hapa nchini, akawaambia waziangalie upya gharama zao za matibabu lakini bado ziko juu sana mpaka leo.
kwa mazungumzo haya ya WAZIRI MKUU sijui yatafua dafu au ndio yale yale ya Mkuu Rais wangu maana inakua kama tunawabembeleza vile wakati nchi yetu wenyewe ila sheria za matibabu wanatupangia wao.
AGHAKAN mnaboa hata kama hamuelewi kiswahili ila ndio tusha waekea/wafungulia THREAD kukazia umbwiga wenu.
Ingawa ni kweli kwamba ndio hospitali yenye vifaa bora pengine kuliko hospitali nyingine nyingi ukiiondoa Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Pia ni Hospitali ambayo imekuwa na mchango mkubwa hasa kuokoa maisha ya wananchi.
Lakini kwa nini wasipokee wagonjwa wa NHIF? Ubaguzi huu wa nini?
Mhe. Rais aliwahi kuzungumza na Mtukufu Aga Khan alipotembelea hapa nchini, akawaambia waziangalie upya gharama zao za matibabu lakini bado ziko juu sana mpaka leo.
kwa mazungumzo haya ya WAZIRI MKUU sijui yatafua dafu au ndio yale yale ya Mkuu Rais wangu maana inakua kama tunawabembeleza vile wakati nchi yetu wenyewe ila sheria za matibabu wanatupangia wao.
AGHAKAN mnaboa hata kama hamuelewi kiswahili ila ndio tusha waekea/wafungulia THREAD kukazia umbwiga wenu.