Afya ya akili ya Jerry Murro iko sawa ?

Tangia ale rushwa ya mzee wa bagamoyo ajawahi kupona akili maana alikula na akamzamisha vile huyu tapeli mwenye cv chafu ya rushwa.
 
Mheshimiwa usiyechezewa,usiyejaribiwa,mwenye frastration nakuomba umuokoe Jerry Muro angalau umpe angalau amsaidie polepole ili kumuokoa ana hali mbaya kiroho,kimwili na kiakili!
 
Wewe mwenyewe umeshajifanyia self diagnosis? Maana hata wewe kwa akili hii lazima utakuwa na matatizo kichwani.
 
Ana shida ya upweke na msongo wa mawazo....
rumors is ..ni mtoto....so....
Hilo la rumors ... Nilishalisikia nikaona ni mashambulizi tuu ingawa tabia za watu wa aina hiyo ndio hizo anazoonyesha.
Ila kwa vile nawe mkuu The Boss nawe umelisikia sina haja ya kuwa na mashaka tena.
Hivi umri haumruhusu kupewa cheo UVCCM akakutane na wenzake huko maana wako wengi ili naye atafutiwe eneo LA mapumziko Mombasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…