chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,298
- 25,712
Unataka kusema walimfanya kitu kibaya?Inasemekana toka amechomoka kwenye ile kesi yake ya rushwa hayuko sawa kiakili avumiliwe tu huyu mfu anayepumua.
Ndiyo ni mtoto wa baba Bashite au kaka wa Jesica ila yawezekana si mtoto wa ndani au labda mmmm inapendeza tukinyamaza.eti ni mtoto? ?
Tangu amsaliti mlezi wake r. Mengi amewehukaInasemekana toka amechomoka kwenye ile kesi yake ya rushwa hayuko sawa kiakili avumiliwe tu huyu mfu anayepumua.
Duuuuuh watu wanatwangaAna shida ya upweke na msongo wa mawazo....
rumors is ..ni mtoto....so....
Wewe mwenyewe umeshajifanyia self diagnosis? Maana hata wewe kwa akili hii lazima utakuwa na matatizo kichwani.Naomba wale wataalam na Madaktari wa magonjwa ya akili waje watusaidie , na hakuna haja ya watu wasio wa fani husika kuingilia.
Kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni , aliyekuwa Msemaji wa Yanga na mtuhumiwa wa kumiliki pingu kinyume cha sheria , ndugu Jerry Murro ameibuka kuwa msemaji wa mambo ya siasa bila hata ya kuwa na cheo chochote kinachotambulika , amejivika usemaji wa ccm kiasi ambacho ni cha kutia aibu sana !
Kauli za hovyo anazotoa zimeleta mashaka kwenye jamii kiasi cha watu kujiuliza kama afya yake ya akili iko sawa .
Ni vizuri wataalam wa magonjwa ya mtindio wa ubongo wakatueleza kama ni mzima au la ili kumuepusha na makombora yasiyo ya lazima.
Natanguliza shukrani .
Wewe mwenyewe umeshajifanyia self diagnosis? Maana hata wewe kwa akili hii lazima utakuwa na matatizo kichwani.
Hilo la rumors ... Nilishalisikia nikaona ni mashambulizi tuu ingawa tabia za watu wa aina hiyo ndio hizo anazoonyesha.Ana shida ya upweke na msongo wa mawazo....
rumors is ..ni mtoto....so....
Peleka Mombasa huyo akapate mapumziko kama wiki akirudi kimya!Ndio maana tumeomba wataalam watusaidie , msikimbilie kumsakama tu.
Amini usiamini haya ni madhara ya matumizi yaliyozidi ya ugali wa mahindi,Njaa janga hasa kwa vijana waliopata mwanga wa elimu
Yupo tayar hata kuua ili tumbo lishibe
Jeni Muro tena [emoji23] [emoji23]Hivi Jeni Muro aliwahi kumaliza form four kweli? Mwenye historia ya elimu yake anipatie...