KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,174
- 75,567
Uchungu wa mimba kwa mama ndio kama upendo wa mama kwa mtoto lkn Afrika hilo limepotea!
Uchungu wa Afrika ulikuwa ktk kupata uhuru lkn ni kama yowe lililopita bila kujibiwa!
Baada ya kupata tulichokitaka tumeshindwa kukitumia ipasavyo,njiti iliyowashwa imeishia patupu.
uzandiki na unafki uliopo unatula bila haya,nguvu ya mababu imetokomea kwa wafitini unafikiri ile mijitu myeupe itaacha kutudhihaki..?
lile shipa la aibu limetukatika! yote twaona shwari lkn kiukweli ni shwari lenye tabu la aina yake.
Bora ingekuwa mtoto asieelewa chochote lkn la hasha! toto hili jeusi linaelewa nakujua kuwa kuna hili na lile,kibaya zaidi wale ndege wakaao juu yake wanajaza yao tu! aaaaahh! na wamepita ktk msasa wa ubongo au ni uongo..? lkn si uongo maana wanapita na magamba.
he he! mbaya sana kupigania pigano lisilo na taji ila kwetu ndio hatutaki kuvaa taji ajabu ya karne..
Uhuru uso nuru
Uchungu wa Afrika ulikuwa ktk kupata uhuru lkn ni kama yowe lililopita bila kujibiwa!
Baada ya kupata tulichokitaka tumeshindwa kukitumia ipasavyo,njiti iliyowashwa imeishia patupu.
uzandiki na unafki uliopo unatula bila haya,nguvu ya mababu imetokomea kwa wafitini unafikiri ile mijitu myeupe itaacha kutudhihaki..?
lile shipa la aibu limetukatika! yote twaona shwari lkn kiukweli ni shwari lenye tabu la aina yake.
Bora ingekuwa mtoto asieelewa chochote lkn la hasha! toto hili jeusi linaelewa nakujua kuwa kuna hili na lile,kibaya zaidi wale ndege wakaao juu yake wanajaza yao tu! aaaaahh! na wamepita ktk msasa wa ubongo au ni uongo..? lkn si uongo maana wanapita na magamba.
he he! mbaya sana kupigania pigano lisilo na taji ila kwetu ndio hatutaki kuvaa taji ajabu ya karne..
Uhuru uso nuru