Wadau mzima wote??
Hivi mwenzenu hapa ndo panaponichanganya sana....wakati wenzetu wanzungu katika mechi zao wanafungana magoli kibao tena kwa mbwembwe za kufa mtu na mpira wa kasi...Sisi huku kwetu mpaka sasa almost mechi mbili sasa afrika kusin vs cape verde na angola vs morocco mpaka sasa hakuna goli...Hii ina maanisha nini??? tuna mabeki bora sana au washambuliaji wetu wabovu??
Hamna lolote wachezaj wa kiafrka hawauthamin uafrka wao hata kushndwa kuonesha cheche zao,ni tofaut kabsa na wanapocheza ktk clab zao ndo maana nakumbuka sana afcon za
1996,1998,2000,2002,2004 na 2006 Mwisho
hizo ndzo wachezaj walionekana profesno