Makolo wanachoizidi Yanga ni magoli ya kufungwa na uchawi tu.TIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA
Al ahly.............70million fans
Young Africans..35million fans
Zamalek.......... 30 million fans
Laizer chief .......16million fans
Asec mimosa......15milion fans
Asante kotoko.....10 million fans
Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mkuu, formula ileile iliyotumika kupata mashabiki boraReal Madrid na Barcelona zinazotajwa kuwa na mashabiki wengi ndio timu ambazo kwenye social media zinaongoza kwa idadi kubwa ya followers.
Lakini hiki chanzo chako kimekuja kuonesha tofauti kuwa Club inayoongoza kwa idadi kubwa ya followers ndio timu ndogo kabisa kwa idadi ya mashabiki dhidi ya timu yenye followers wachache.
Chanzo chako hakijaeleza kimetumia formula gani kupata hiyo idadi ya mashabiki kwasababu katika hali ya uhalisia ukasema utoe takwimu nje ya followers basi inabidi ifanyike sensa ya mtaa kwa mtaa.
Labda watuambie hiyo sensa ilifanyika lini na kwanini mtaani kwetu hawajapita?
Inashangaza wanabisha takwimu zilizotolewa huko abroadWamechanganyikiwa Kama Mfa Maji Hakosi Kutapatapa Ndio Makolo Wanachopitia
Na umbumbumbuMakolo wanachoizidi Yanga ni magoli ya kufungwa na uchawi tu.
Mkuu, formula ileile iliyotumika kupata mashabiki bora
Washabiki wengi wa Yanga umri umeenda, wanawake na wa maeneo ya vijijini ambao hawako active mitandaoni sana.Real Madrid na Barcelona zinazotajwa kuwa na mashabiki wengi ndio timu ambazo kwenye social media zinaongoza kwa idadi kubwa ya followers.
Lakini hiki chanzo chako kimekuja kuonesha tofauti kuwa Club inayoongoza kwa idadi kubwa ya followers ndio timu ndogo kabisa kwa idadi ya mashabiki dhidi ya timu yenye followers wachache.
Chanzo chako hakijaeleza kimetumia formula gani kupata hiyo idadi ya mashabiki kwasababu katika hali ya uhalisia ukasema utoe takwimu nje ya followers basi inabidi ifanyike sensa ya mtaa kwa mtaa.
Labda watuambie hiyo sensa ilifanyika lini na kwanini mtaani kwetu hawajapita?
Inashangaza wanabisha takwimu zilizotolewa huko abroad
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
HaelewiWashabiki wengi wa Yanga umri umeenda, wanawake na wa maeneo ya vijijini ambao hawako active mitandaoni sana.
Kabisa mkuuRage Hakutamka Kwa Bahati Mbaya Neno Mbumbumbu
Majini SubianiTIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA
Al ahly.............70million fans
Young Africans..35million fans
Zamalek.......... 30 million fans
Laizer chief .......16million fans
Asec mimosa......15milion fans
Asante kotoko.....10 million fans
Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sio washabiki....ni wanachama waliosajiliwa weka record sawaTIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA
Al ahly.............70million fans
Young Africans..35million fans
Zamalek.......... 30 million fans
Laizer chief .......16million fans
Asec mimosa......15milion fans
Asante kotoko.....10 million fans
Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Usajili wanachama....Wametumia kigezo gani?
Vv
Haihitaji hata torch hii kujua kabisa engineer elsi kawadanganya caf kuhusu uhalisia wa timu yao ya yanga.. washabiki millioni 35.. uongo wa asubuh kabisaTIMU ZENYE MASHABIKI WENGI AFRIKA
Al ahly.............70million fans
Young Africans..35million fans
Zamalek.......... 30 million fans
Laizer chief .......16million fans
Asec mimosa......15milion fans
Asante kotoko.....10 million fans
Simba ..........10milion fans
Source: African facts zoneView attachment 2905925
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
InawezekanaSio washabiki....ni wanachama waliosajiliwa weka record sawa
Utafiti umefanyikaHaihitaji hata torch hii kujua kabisa engineer elsi kawadanganya caf kuhusu uhalisia wa timu yao ya yanga.. washabiki millioni 35.. uongo wa asubuh kabisa
Sawa sawaSAHIHI..... Mimi ni shabiki wa timu X ila nime wafollow pia timu Z..
Kama yapo.. hakuna shidaHiyo 35M watakuwa wamehesabu na maruhani labda