Africa falls into dragon hands

Africa falls into dragon hands

Bin Faza

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2013
Posts
502
Reaction score
191
Waungwana

Ukitizama kiundani zaidi utakuta sasa Bara la Afrika limengukia katika ukoloni mpya na wa aina yake.

Ukoloni wa Kichina.

Mchina ameingia barani Afrika kwa nguvu sana, kuanzia southern parts za afrika hadi kwa north na western, na sasa ndio ameiza kuingia eastern.

Mchina ana mahitajio makubwa ya mali ghafi na chakula, kulisha watu wapatao bilioni mbili si kazi nyepesi sana, na kuendesha viwana vinavyohudumiakia dunia nzima pia sio mashara

Wengi ya waafrika wananufaika kwa kuwepo kwa wachina, ajira zinapatika na bidhaa za bei nafuu sanaaaaa, lakini uchumi wa nchi yoyote iliyovamiwa na wachina hatimae unakuwa katika mikono ya kichina.

mfano tumeanza kuona wachina wanamiminika sana tz siku hivi, husuan huko tanganyika, na wanakaribishwa vyema sana na raisi wao mpya kaipa tz kipa umbele kiasi ambacho ziara zake za mwanzo baada ya kupewa uraisi iliwemo tz.

kwa bahati mzuri au mbaya tz ni kama kuku aliyelalia yai la dhahabu akisubiri litotowe, lakini dalili zinaonesha kwamba yai hilo sasa itakwenda kutotolea huko china.
 
Viongozi wengi wa Africa wameshindwa kutumia raslimali tulizonazo kwa ajili ya kujikomboa kutoka katika Umaskini, Ujinga na Maradhi bali wamebaki kuomba misaada toka ughaibuni na kuendeleza familia zao na kusahau majority ya watu wanaowaongoza, inatupasa sasa tuchukue hatua juwawajibisha ili tuweze kujenga nchi imara itakayowanufaisha wake kwa waume.
 
Julius Mgaya,

Pia usisahau kwamba serikali za afrika hutumia hata reserve ya nchi katika kusherehekea uhuru na katika kampeni za uraisi na wabunge kwa ajili ya chama tawala
 
Kwani kabla ya Mchina uchumi wa Tanzania ulikuwa mikononi mwa Wazalendo?
 
Back
Top Bottom