I think it is very hypocritical for some members to claim that the only thing that matters in the case of China adn South Africa is money and to hell with Human rights, lakini wengine tukisema elimu isiwe bure Tanzania tunaambiwa ni mafisadi.
I think that Planckscale has a point, very important point. South Africa is the country of Nelson Mandela, wengi wetu tuliamua kuumia na tuliboycott bidhaa za South Africa, mpaka mwisho hata Marekani waliwaboycott ili tuwalazimishe wazungu wawape haki sawa watu weusi. Sasa leo hii Black South African government imeshindwa kuonyesha solidairty with their brethens in Tibet, wakati ni wazi China inawanyima haki zao watu wa Tibet.
I agree, Planckscale, they cannot have double standards. If solidairty and sanctions were good for South Africa, it is good for China now. They should let the Dalai Lama attend the conference. If not then all attendees should just boycott because it is just hypocrisy and a farce!