Duuh haya matukio ya kikatili kama kwa Mandela...Sasa ivi Watanzania tumekua wakatili kupita kiasi aisee..mi nadhani kungekua na sheria ambayo intakiwa Watanzania woote wachukuliwe Finger print na yawepo katika saver tukio kama hili linachukua siku chache kujulikana wahusika na si washukiwa..ila kama T scan ya Muhimbiri tu inatusumbua haya mengine sijajua kama yatawezekana kwa sasa ivi..