Bodaboda hawastahili kuitwa ofisa kabisa. Aliyewapa hadhi hiyo alikosea. Watu wa vijiweni watapewaje hadhi hiyo? Maofisa usafirishaji ni wale wa NIT, maofisa wengine ni TRA, BANK, EWURA, LATRA, TANROAD, TARURA, TAWA, TAWIRI, TANAPA, POLISI, JWTZ, MAGEREZA, UHAMIAJI, ZIMAMOTO, ELIMU, AFYA, KILIMO, BIASHARA, OFISA ustawi wa jamii, maofisa habari na mawasiliano na wengine kwenye ofisi za umma. Sio wahuni wa vijiweni kuitwa maofisa, huko ni kupotoka