Afisa uhamiaji mkoa wa Dar, John Msumule


NATUMAINI WATAMFUATILIA...
 
Kamata wote tupa ndani acha ubabaishaji na unafki
 
Bila hivyo kamata afisa uhamiaji kwa makosa ya uzembe na kutafuna rushwa

NAFIKIRI HAWA WA HAPA DSM, WANAHITAJI KUHAMISHWA NA PIA KUCHUNGUZWA MALI ZAO...PCCB NA TISS MPO WAPI KUWAFUATILIA HAWA MAAFISA UHAMIAJI....I WISH I COULD BE JPM.
 
Makampuni karibu yote ya wahindi ni ya kuchunguzwa. Na maafisa uhamiaji wawajibishwe. Mhindi anaajiri accountant toka India sisi tuna CPA holder wangapi? Technical job zenyewe wabongo hawafundishwi.. Huku Mwanza waende makampuni kama Nyanza Engineering Works na Vick fish watakuta tu wageni hawana vibali.. Wanalala chumba kimoja watu 10 na kila mmoja anamiliki gari wahindi bana hawajengi ni kuiba pesa na kuwekeza India. Wafuatiliwe wote nafasi za ajira zipatikane. Na Hawa maafisa Uhamiaji wachunguzwe.
 
Kwa siku hizi kadhaa zimepita serikali ilitakiwa iwe imetoa majibu ya watanzania kupigwa. [HASHTAG]#Tunataka[/HASHTAG] bunge live



Brother punguza mihemko hao wahindi na waarabu wanawahonga sana uhamiahaji.. Hata ukitoa ushirikiano hawaji wanadai wao wanataratibu zao za kazi.. Rushwa tupu
 
HIVI UHAMIAJI MNASUBIRI KULETEWA TAARIFA??????? I WISH I COULD BE IMMIGRATION COMMISSIONER GENERAL...TUNASUBIRI KULETEWA TAARIFA MEZANI, BADALA YA KUZIFUATA IN THE GROUND...YAANI TUNAKAMATA WAHAMIAJI HARAMU TUKIWA MAOFISINI TUKIPIGWA NA AC'S
wewe hujaelewa dhana ya wananchi kufikisha taarifa kwenye vyombo vya dola. nani amekwambia uhamiaji wanakaa ofisini wakisubiri taarifa zako? post yangu nilimjibu mtu aliyesema kuna makampuni mengi yana wahamiaji haramu, na kwa kuwa yeye ndio anatuhumu, basi awasilishe taaarifa hizo. uwe unasoma post na kuilewa kabla ya kukurupuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…