Andrew Sosipeter
Senior Member
- May 29, 2016
- 189
- 33
Habari zenu ndugu wana jf kuna dogo anahitaji ushauri wa mawazo baada ya kukosa sifa ya kujiunga na kidato cha tano matokeo yake yapo HIVI DIV III 25 CIV D HIST D KISW C CHEM C ENG C GEO D BIOS D PHYS F B /MATH D na alifanya application nacte diploma afya au education anahofia KUTOCHAGULIWA na nacte maana hawaeleweki msaada please wa mawazo