Advans bank

Kolis

Member
Joined
Dec 13, 2012
Posts
35
Reaction score
2
Heshima kwenu wakubwa! Nasikia advans bank wameita watu kwa interview. Mwenye updates plz anifahamishe,natanguliza shukrani.
 
anayejua kuhusu hili atufahamishe basi kama kweli wameshaita au wameanza kuita
 
Waulize hao walioitwa au tembelea tawi lao pale Sayansi mataa
 
hakuna uhun wowote! hata mi nimepigiwa simu jana, usail writen tar 16-02, venue:kariakoo branch, saa 4 asbh
 
Thank u mkuu,nlikua namfatilia dogo wangu aliomba ila ye amefanyia manzese
hakuna uhun wowote! hata mi nimepigiwa simu jana, usail writen tar 16-02, venue:kariakoo branch, saa 4 asbh
 
tulizen ball we kama hujapigiwa simu consider urself unseccesful. ukiona manyoya jua kaliwa!
 
mie nilipiga hadi oral ila wamenichinjia baharini !!na kunabaadhi ya watu kweli wamepigiwa.
 
Asanteni kwa updates zenu,ila kama hujapata usikate tamaa Mungu atakusaidia utapata kwengine. Walopata nawatakia kila lakheri na wafanye kazi kwa bidii.
 
Advans mhhhhh haka kabenk kwenye ajira kako ver biased!! Mwaka jana kuna ushenzi walinifanyia sina hamu nao. Ila endeleen kumuomba Mungu!
 
Mdogo wangu kapata na kaanza kazi jumatatu week hii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…