Nimewapuuza Tu. Mnabisha kwa Shallow Learning... Na kwa makusudi kabisa mnapotosha hata kile mlichokielewa. Mnalazimisha kutokuelewa.
Nawakumbusha tena, Mwenyezi Mungu ni mkubwa kuliko chochote /Yeyote, na mwenye uwezo wa kila kitu.
Oneni ukuu wake, fungueni macho na akili. MTAELEWA.