Adobe waja na mbinu ya kuzuia sofware za kuchakachua

Adobe waja na mbinu ya kuzuia sofware za kuchakachua

inspectorbenja

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
650
Reaction score
716
Wadau nimetafuta uzi unaohusiana na hicho kichwa humu sijaona,nadhani basi hili jambo bado watu watakuwa halijaanza kuwagusa.Ila kwa wale wapakuaji wa adobe products kule torents saa hizi ukikapkua na kutakaku instal,inakataa na kukuambia hiyo software siyo genuine.Najua humu kuna wataalam,watusaidie nini solution.Mfano mimi niyo adobe ps nilipakuaga zamani lakini saa hizi nikitaka kuistal inagoma na kuniambia siyo genuine.Nahisi sina ujanja,msaada tafadhali.
cc Chief Mkwawa.
 
Wadau nimetafuta uzi unaohusiana na hicho kichwa humu sijaona,nadhani basi hili jambo bado watu watakuwa halijaanza kuwagusa.Ila kwa wale wapakuaji wa adobe products kule torents saa hizi ukikapkua na kutakaku instal,inakataa na kukuambia hiyo software siyo genuine.Najua humu kuna wataalam,watusaidie nini solution.Mfano mimi niyo adobe ps nilipakuaga zamani lakini saa hizi nikitaka kuistal inagoma na kuniambia siyo genuine.Nahisi sina ujanja,msaada tafadhali.
cc Chief Mkwawa.
Ni ya zamani version gani? Ni zile zinazohitaji key wakati wa installation au zile za kuactivate baadae?

Wakati unaInstall computer yako ilikuwa kwenye internet?

Una uhakika hiyo setup ni ya adobe kweli?
 
wewe ni muongo mimi nimepakua adobe zote latest za 2017 photoshop cs6,dream waever cs6, adobe after effect na nyingne zote zina run vizurii tuu
 
lazima kue na crack, tafta crack nzur ui manipulate tu amna jinsi
 
Wadau nimetafuta uzi unaohusiana na hicho kichwa humu sijaona,nadhani basi hili jambo bado watu watakuwa halijaanza kuwagusa.Ila kwa wale wapakuaji wa adobe products kule torents saa hizi ukikapkua na kutakaku instal,inakataa na kukuambia hiyo software siyo genuine.Najua humu kuna wataalam,watusaidie nini solution.Mfano mimi niyo adobe ps nilipakuaga zamani lakini saa hizi nikitaka kuistal inagoma na kuniambia siyo genuine.Nahisi sina ujanja,msaada tafadhali.
cc Chief Mkwawa.
Adobe PS mpaka uicrack ndiyo inafanya kazi, download crack za Adobe PS uliyoidownload. Install kisha weka crack kwenye file husika.


ONYO:wakati unainstall usiwe na internet maana taarifa itafika kwa Adobe wenyewe na wataiban. Pia usije ukajaribu kuupdate, ukifanya hivyo maana yake kuwapa taarifa kuwa unatumia pirated licence ya software yao. Watakuban usiitumie
 
Back
Top Bottom