mwakafuka1981
Member
- Mar 21, 2015
- 21
- 3
Watanzania naomba kukiunga mkono chama cha a.c.t maendeleo kwani ndiyo habari ya mjini kwasasa wakati umefika wakuwa na wapinzani wa ukweli siyo wapinzani wa kutaka wawe wao tu nini maana ya demokrasia kama huwezi kuwapisha wezako kuchukua nafasi eti nimeombwa na wazee chadema waache kuwadanganya watanzania tunataka wapinzani wa ukweli kama zitto kabwe