mkude kibwana
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 348
- 27
Chama cha ACT wazalendo chazidi kudunda mitaani baada ya tafiti kuonyesha ni chama pendwa na wanyonge wengi kuliko CCM na CHADEMA.
Tafiti hizo zilizofanywa na chombo kimoja cha habari kimebaini ACT imejikita zaidi vijijini tofauti na vyama vyenza katika uchaguzi huu ujao.
wakati hayo yakiendelea ayari kampeni za ACT zinaendelea na mgombea wake wa urais tayari amekuwa tishio kwa wagombea wenzake wa CCM na UKAWA.
Tishio hilo linajegwa na uwezo wa mama Kujieleza na kuonyesha kuyajua matatizo ya watanzania kuliko wenzake walio na mzigo wa kujibu shutuma mbalimbali tofauti na Mama.
Tafiti hizo zilizofanywa na chombo kimoja cha habari kimebaini ACT imejikita zaidi vijijini tofauti na vyama vyenza katika uchaguzi huu ujao.
wakati hayo yakiendelea ayari kampeni za ACT zinaendelea na mgombea wake wa urais tayari amekuwa tishio kwa wagombea wenzake wa CCM na UKAWA.
Tishio hilo linajegwa na uwezo wa mama Kujieleza na kuonyesha kuyajua matatizo ya watanzania kuliko wenzake walio na mzigo wa kujibu shutuma mbalimbali tofauti na Mama.