mahroof
Member
- Jul 9, 2015
- 47
- 62
Kwa taarifa nilizo zipata kutoka kwa katibu wa act (w)mbozi mh rahim nzunda.zinasema mpaka maandalizi ya kutoa ushind kwa kishindo yamesha kumilika.mpaka sasa amedai wanasubir mda wakampeni utangazwe wakamalzie asilimia zilizo baki.
Katibu wa act aliongeza kwa kusema ana imani na kikosi chake yan kikos tuu ni ushind tayar hatatusipo fanya kampeni.
Katibu wa act aliongeza kwa kusema ana imani na kikosi chake yan kikos tuu ni ushind tayar hatatusipo fanya kampeni.