Zzk ni mzalendo wa kweli, hakuna mzalendo ktk cdm zaid yake wengi wa wana cdm ni waroho wa madaraka na mafisad wapiga pesa inakuwaje mwemyekit kuuzia chama chake vifaa eti ndo mzabun hii si sawa, enz za nyerere angechapwa bakora akaonyeshe mkewe na watoto wake