ACT kujiunga UKAWA

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
25,956
Reaction score
25,342
Kuna taarifa za chinichini kwamba ATC wanakusudia kujiunga na UKAWA ili kuongeza nguvu ya upinzani dhidi ya CCM. Hii ni kwa sababu ACT wanaamini katika umoja na mshikamano na wanatambua kwamba UMOJA NI NGUVU. Nakumbuka siku Zitto alipozindua ACT alisema chama hiki hakina uadui na chama chochote. Nadhani alikuwa anajenga mazingira ya kutaka kuungana na UKAWA baadaye ili kuongeza nguvu katika safari ya kuelekea Magogoni.

MAONI YANGU
Kwa kuwa viongozi wa ACT wana chembechembe za usaliti, nawashauri UKAWA wasiwakubalie ACT kujiunga nao. Nina hofu huenda ACT wanatumiwa na CCM kutaka kuwavuruga UKAWA. Kuweni na hao wasaliti.

:israel:
 
Last edited by a moderator:
Maisha,Ukawa hawawezi kuungana na ACT wanajishumbua tu,intelejisia ilishakamilika zitto na chama chake ni ccm B
Bahati mbaya afya ya zitto inaendelea kudorora baada ya kuona mpango unazama
Asipoangalia huyu kijana ataishi maisha mafupi sana sababu ya mawazo.
 
Ha ha ha ha ha ha, nani atakubali virusi kwenye umoja makini kama UKAWA!
 
mbona hata cuf walikuwa hivyo kipindi fulani??
 
Umoja ni nguvu. Wana chelewa wenzao wanagawana majimbo ya kugombea nafasi mbalimbali uchaguzi ujao
 
Wakati anajadili hoja ya mwana ukawa kafulila bungeni alitunganya amewamisi ukawa gafla yuko act m!
 
wakaribishwe tu siasa sio uadui !

Kweli eeeh! Ili mpata nafasi ya kuhudhuria vikao muhimu vya UKAWA mpate kinachojadiliwa mkipeleke mnapotaka, akili zenu sijui mmatoa wapi, ni bora vyama kama Jahazi Asilia, PPT MAENDELEO, CCK, kuliko ACT wasogelee kikao cha UKAWA, kwanza mnazungumzia ACT ipi!? Wazalendo au ile nyingine cjui ACT chipolopolo
 
Act ipi mkuu kati ya hizi? Act wazawa, act wazalendo au act Tanzania?
 
kuileta act ukawa ni sawa na kuileta adc ukawa ni ndoto ya mchana kweupe, zitto alishasema ukawa wasaka tonge
 
ninachokumbuka hata CUF iliitwa CCM B na TLP iliitwa CCM C lakini leo hii sote ni mashahidi ya kinachoendelea.
Prof. Safari na Lwakatare waliitwa wasaliti CUF wakahamia chadema, Kafulila, machali na mkosamali waliitwa wasaliti chadema wakahamia NCCR lao hii sisi sote ni mashahidi. NA hata hamadi rashid nae aliitwa kibaraka wa ccm. LAKINI HAMJIFUNZI TU. LABDA HUKO SHULENI MLIENDA KUJIFUNZA UPUMBAVU.




Ha ha ha ha ha ha, nani atakubali virusi kwenye umoja makini kama UKAWA!
 

Lissu na Slaa ndo afya zao inaendelea kudorora, umpe sikia habari za sumu ACT? kama sio Chadema wafalme wa madaraka!!! Fungua macho kijana.
 
Zitto hafai kuwa kiongozi ni msaliti mkubwa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…