Digital Marketer
Senior Member
- May 1, 2019
- 112
- 149
yule jamaa mjanja sana
hata akinya pale gate la kuingilia ikulu hatogombezwa,achilia mbali kufukuzwa kazi
Kiukweli mara ya kwanza namsikia huyu mtu ilikua kwenye mambo ya vyeti....na ukizingatia mimi sio mtu wa Siasa...sema ile ishu ilivuma sana....toka hapo nilikua interested kumfatilia.
Kama mambo yanayosemwa ni ukweli...Basi huyu mtu alikua determine kufika mbali kwa vyovyote vile......
Inaonekana alipigana sana.....
Kwanini nasema ni inspiration....
Ni mtu ambae alikataa kuishi kwenye comfort zone.....
Bila kujali maneno ya watu...anatoboa....
Na sisi ambao atupendi kusemwa ngoja tuendelee kukaa nyuma ya ID fake....wakati the real risk takers kama ao wakiendelea kutusua maisha.....
Nilichojifunza.....
Kama unataka kwenda on top...
Find a topper
Find what he hates or scared
And help him/her coz it’s not your business but you are taking care of theirs....
When they are happy...you will be happy.
“Choose a friend to sacrifice for wisely”.
umeongea jambo la maana sanaKweli kabisa kwa upande mwingine jamaa ni mfano wa kuigwa.
Tumtukane, tumsakame. Lakini katuacha wengi mno mbali na kumfikia ni ngumu. Na hiyo hiyo zero yake.
umeongea jambo la maana sana
ndio maana sina mpango wa kuongeza degree,
yani saivi wajanja wana enjoy sana, gari alizonazo bashite ni wachache wanamilikiMaisha ya sasa yanataka ujanja zaidi kuliko hata ukubwa wa elimu.
Hata hivyo elimu inakuwa tamu zaid ukiweza kuichanganya na ujanja ujanja.
Kama una nafasi ya kuongeza elimu wewe ongeza.
Kill others for him to make him happy
When he is happy...you are happy...
Slap even an old man like kingu for him to be happy..so as you can be on top!
Kwa kweli kajua udhaifu wa aliye juu, na kamshika mateka.Kiukweli mara ya kwanza namsikia huyu mtu ilikua kwenye mambo ya vyeti....na ukizingatia mimi sio mtu wa Siasa...sema ile ishu ilivuma sana....toka hapo nilikua interested kumfatilia.
Kama mambo yanayosemwa ni ukweli...Basi huyu mtu alikua determine kufika mbali kwa vyovyote vile......
Inaonekana alipigana sana.....
Kwanini nasema ni inspiration....
Ni mtu ambae alikataa kuishi kwenye comfort zone.....
Bila kujali maneno ya watu...anatoboa....
Na sisi ambao atupendi kusemwa ngoja tuendelee kukaa nyuma ya ID fake....wakati the real risk takers kama ao wakiendelea kutusua maisha.....
Nilichojifunza.....
Kama unataka kwenda on top...
Find a topper
Find what he hates or scared
And help him/her coz it’s not your business but you are taking care of theirs....
When they are happy...you will be happy.
“Choose a friend to sacrifice for wisely”.
utakuwa kwenye kundi la wanafiki... fight your own fightKiukweli mara ya kwanza namsikia huyu mtu ilikua kwenye mambo ya vyeti....na ukizingatia mimi sio mtu wa Siasa...sema ile ishu ilivuma sana....toka hapo nilikua interested kumfatilia.
Kama mambo yanayosemwa ni ukweli...Basi huyu mtu alikua determine kufika mbali kwa vyovyote vile......
Inaonekana alipigana sana.....
Kwanini nasema ni inspiration....
Ni mtu ambae alikataa kuishi kwenye comfort zone.....
Bila kujali maneno ya watu...anatoboa....
Na sisi ambao atupendi kusemwa ngoja tuendelee kukaa nyuma ya ID fake....wakati the real risk takers kama ao wakiendelea kutusua maisha.....
Nilichojifunza.....
Kama unataka kwenda on top...
Find a topper
Find what he hates or scared
And help him/her coz it’s not your business but you are taking care of theirs....
When they are happy...you will be happy.
“Choose a friend to sacrifice for wisely”.
wangapi kama bashite wanamiliki hayo magari kwa style yake. Yaani wewe unaona magari ndio maisha mkuu.yani saivi wajanja wana enjoy sana, gari alizonazo bashite ni wachache wanamiliki
Yule ni kubebwa tu hamna cha maana mtu mwenye akili anaweza kuiga kutoka kwake zaidi ya unafiki, dharau, majigambo, wizi na hata uuaji. Inshort ni kibaraka ila hajapitia njia sahihi kufika hapo alipoKweli kabisa kwa upande mwingine jamaa ni mfano wa kuigwa.
Tumtukane, tumsakame. Lakini katuacha wengi mno mbali na kumfikia ni ngumu. Na hiyo hiyo zero yake.
utakuwa kwenye kundi la wanafiki... fight your own fight
Sasa tuambie vitu gani positive unaweza iga kwa Makonda... ama njia zipi za makonda zinaweza kukufanya ww ufanikiwe!!!
Mkuu haya mambo ayaitaji hasira.......
Wewe na kutokua mnafiki umefikia wapi ???
Ebu acha hizo........
Huu ni uzi tu.....
Kweli kabisa kwa upande mwingine jamaa ni mfano wa kuigwa.
Tumtukane, tumsakame. Lakini katuacha wengi mno mbali na kumfikia ni ngumu. Na hiyo hiyo zero yake.
mkuu,wangapi kama bashite wanamiliki hayo magari kwa style yake. Yaani wewe unaona magari ndio maisha mkuu.
Nimeipenda hii, sana.. Hili binafsi nimeliona..Maisha ya sasa yanataka ujanja zaidi kuliko hata ukubwa wa elimu.
Hata hivyo elimu inakuwa tamu zaid ukiweza kuichanganya na ujanja ujanja.
Kama una nafasi ya kuongeza elimu wewe ongeza.