Digital Marketer
Senior Member
- May 1, 2019
- 112
- 149
Kiukweli mara ya kwanza namsikia huyu mtu ilikua kwenye mambo ya vyeti....na ukizingatia mimi sio mtu wa Siasa...sema ile ishu ilivuma sana....toka hapo nilikua interested kumfatilia.
Kama mambo yanayosemwa ni ukweli...Basi huyu mtu alikua determine kufika mbali kwa vyovyote vile......
Inaonekana alipigana sana.....
Kwanini nasema ni inspiration....
Ni mtu ambae alikataa kuishi kwenye comfort zone.....
Bila kujali maneno ya watu...anatoboa....
Na sisi ambao atupendi kusemwa ngoja tuendelee kukaa nyuma ya ID fake....wakati the real risk takers kama ao wakiendelea kutusua maisha.....
Nilichojifunza.....
Kama unataka kwenda on top...
Find a topper
Find what he hates or scared
And help him/her coz it’s not your business but you are taking care of theirs....
When they are happy...you will be happy.
“Choose a friend to sacrifice for wisely”.
Kama mambo yanayosemwa ni ukweli...Basi huyu mtu alikua determine kufika mbali kwa vyovyote vile......
Inaonekana alipigana sana.....
Kwanini nasema ni inspiration....
Ni mtu ambae alikataa kuishi kwenye comfort zone.....
Bila kujali maneno ya watu...anatoboa....
Na sisi ambao atupendi kusemwa ngoja tuendelee kukaa nyuma ya ID fake....wakati the real risk takers kama ao wakiendelea kutusua maisha.....
Nilichojifunza.....
Kama unataka kwenda on top...
Find a topper
Find what he hates or scared
And help him/her coz it’s not your business but you are taking care of theirs....
When they are happy...you will be happy.
“Choose a friend to sacrifice for wisely”.