Mti majungu
Member
- May 19, 2015
- 56
- 79
Mimi nina astashahada ya uhasibu naomba kazi kokote ya Accounts Assistant ,mimi ni mwaminifu,mchapakazi na mbunifu .please kwa yeyote anaeweza kunipa kazi nitashukuru na mungu atamjalia...shukrani.
Umejuaje kuwa wewe ni Muaminifu?Mimi nina astashahada ya uhasibu naomba kazi kokote ya Accounts Assistant ,mimi ni mwaminifu,mchapakazi na mbunifu .please kwa yeyote anaeweza kunipa kazi nitashukuru na mungu atamjalia...shukrani.
i know my selfUmejuaje kuwa wewe ni Muaminifu?
Mimi nina astashahada ya uhasibu naomba kazi kokote ya Accounts Assistant ,mimi ni mwaminifu,mchapakazi na mbunifu .please kwa yeyote anaeweza kunipa kazi nitashukuru na mungu atamjalia...shukrani.
Nenda chuon kachukue degree... Alafu upige CPA...Mimi nina astashahada ya uhasibu naomba kazi kokote ya Accounts Assistant ,mimi ni mwaminifu,mchapakazi na mbunifu .please kwa yeyote anaeweza kunipa kazi nitashukuru na mungu atamjalia...shukrani.
Je unafahamu hali yake kiuchumi mkuu mpaka unampa ushauri kama huo kiongozi maana ELIMU ni biashara sikuhizi.Nenda chuon kachukue degree... Alafu upige CPA...
Wala sihitaji kufahamu. Nilichotoa ni ushauri nimetoa hasa kwa kulingana na huu uchumi wa viwanda na upatikanaji wa ajira kwa kozi yake.Je unafahamu hali yake kiuchumi mkuu mpaka unampa ushauri kama huo kiongozi maana ELIMU ni biashara sikuhizi.
Sawa boss ila uchumi wa viwanda unahitaji mahela ili kufikia hizo level.Wala sihitaji kufahamu. Nilichotoa ni ushauri nimetoa hasa kwa kulingana na huu uchumi wa viwanda na upatikanaji wa ajira kwa kozi yake.
Nenda chuon kachukue degree... Alafu upige CPA...