Miaka ya daktari hivi, sio mbaya kama mtu atakomaa hasa vijana wanaoanza chuo mapema na miaka 20 akifika 25 kamaliza walau CPA kama atakuwa mzuri wa uhasibu.
Kuanzia hapo chance za kutoboa zinakuwa wazi. Cha msingi ajiingize intern kwenye auditing firms huwa channel zinapatikanaga kule kule.