Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,591
- 31,128
Hahahaha aseme ukweli tu name gb watsapp yakeweka wazi ume-violate policy gani za whatsapp?
Hakuna chochote nilichoviolet labda mnielekezeweka wazi ume-violate policy gani za whatsapp?
Nisaidie ndugu yangu mda unaenda
Una uhakika unatumia watsapp orijino kabisa sio hizi mods za kina Fouad? ?Hakuna chochote nilichoviolet labda mnielekeze
Natumia WhatsApp za kijanja gb-whatsappwatumiaji wa whatsapp za ajabu ajabu toka android
Ndio ni gb watsapUna uhakika unatumia watsapp orijino kabisa sio hizi mods za kina Fouad? ?
Mie nishawahi kupigwa ban ya miaka 13
Sasa ulikua unasema haujavunja policy zao kivipi mkuu 😂😂Ndio ni gb watsap
Mimi pia kimenitokea leoWeka screenshot tuone ban ya siku ngapi wataalamu waje wakusaidie
Wasiliana na huduma ya wateja kupitia email, watakufungulia baada ya masaa 24 au 48
Unatumia Whatsapp mbili kulingana moja ni ya biashara nyingn private unakuwa na whatsapp official ila biashara ndo hizo modsWatu wa android kama wajinga muda mwingine sasa hizo whatsapp za ajabu zina faida gani?
Kaka ulitumia njia gani kaka nisaidie na MimiAsanteni jamani tayari wamenitumia ujumbe kwa email kuwa imefunguka View attachment 1970970
WhatsApp kontaktieren weka hapo taarifa zako then watumie watakujibu kwenye email kama masaa 10 au siku mojaJamani naombini msaada wassap yangu imefungwa