imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 61,236 Reaction score 98,403 Mar 24, 2025 #21 Mtoto wa Shule said: Kwa Tanzania ni mahakama tu yenye uwezo wa Kuthibitisha tuhuma zozote kama ni kweli au si kweli. Je, Mahakama imethibitisha? Click to expand... Hizo Mahakama za kupigiwa simu?!
Mtoto wa Shule said: Kwa Tanzania ni mahakama tu yenye uwezo wa Kuthibitisha tuhuma zozote kama ni kweli au si kweli. Je, Mahakama imethibitisha? Click to expand... Hizo Mahakama za kupigiwa simu?!
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 19,641 Reaction score 14,241 Mar 24, 2025 #22 imhotep said: Hizo Mahakama za kupigiwa simu?! Click to expand... Kwahiyo nani atamwajibisha kama mahakama haiwezi kumwajibisha?
imhotep said: Hizo Mahakama za kupigiwa simu?! Click to expand... Kwahiyo nani atamwajibisha kama mahakama haiwezi kumwajibisha?
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 61,236 Reaction score 98,403 Mar 24, 2025 #23 Mtoto wa Shule said: Kwahiyo nani atamwajibisha kama mahakama haiwezi kumwajibisha? Click to expand... Tunapaza sauti ili ijulikane kuwa TANZANIA hakuna utawala wa Sheria bali ni maigizo kutoka juu. Sheria hazifuatwi Katiba haifuatwi Nchi inapelekwa ki CCM tu ambao ndio TABAKA lililo juu ya Sheria.
Mtoto wa Shule said: Kwahiyo nani atamwajibisha kama mahakama haiwezi kumwajibisha? Click to expand... Tunapaza sauti ili ijulikane kuwa TANZANIA hakuna utawala wa Sheria bali ni maigizo kutoka juu. Sheria hazifuatwi Katiba haifuatwi Nchi inapelekwa ki CCM tu ambao ndio TABAKA lililo juu ya Sheria.
M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 19,641 Reaction score 14,241 Mar 24, 2025 #24 imhotep said: Tunapaza sauti ili ijulikane kuwa TANZANIA hakuna utawala wa Sheria bali ni maigizo kutoka juu. Sheria hazifuatwi Katiba haifuatwi Nchi inapelekwa ki CCM tu ambao ndio TABAKA lililo juu ya Sheria. Click to expand... Kwahiyo uliposema "Makalla awajibishwe" ukijua kuwa haiwezekani maana yake "uliropoka" sio?
imhotep said: Tunapaza sauti ili ijulikane kuwa TANZANIA hakuna utawala wa Sheria bali ni maigizo kutoka juu. Sheria hazifuatwi Katiba haifuatwi Nchi inapelekwa ki CCM tu ambao ndio TABAKA lililo juu ya Sheria. Click to expand... Kwahiyo uliposema "Makalla awajibishwe" ukijua kuwa haiwezekani maana yake "uliropoka" sio?
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 61,236 Reaction score 98,403 Mar 24, 2025 #25 Mtoto wa Shule said: Kwahiyo uliposema "Makalla awajibishwe" ukijua kuwa haiwezekani maana yake "uliropoka" sio? Click to expand... Nimesema kama Sheria zinavyosema hata kama tunajua CCM hawafuati Sheria inafikia hata wanaua na kupoteza Wapinzani kwa kutumia vyombo vya usalama. Sasa wewe ulitaka tunyamaze? Ndio lengo lao tunyamaze kimya huku wao wanaendelea kuiteketeza mihimili ya Nchi na kuifanya ni ya yao binafsi.
Mtoto wa Shule said: Kwahiyo uliposema "Makalla awajibishwe" ukijua kuwa haiwezekani maana yake "uliropoka" sio? Click to expand... Nimesema kama Sheria zinavyosema hata kama tunajua CCM hawafuati Sheria inafikia hata wanaua na kupoteza Wapinzani kwa kutumia vyombo vya usalama. Sasa wewe ulitaka tunyamaze? Ndio lengo lao tunyamaze kimya huku wao wanaendelea kuiteketeza mihimili ya Nchi na kuifanya ni ya yao binafsi.