Inawezekana, lakini hebu tafasiri vizuri na kihalali hili neno "terrorists". Kuna wanaopigiwa tarumbeta kuhusika na hili neno (tunawasikia) na vile vile damned!! kuwa wanaosifiwa lakini tafsiri ya hili neno haliwatoi, Bush, Blair, Condoleeza Rice, Donald Rumsfeld, Ariel Sharon, Netanyahu, etc basi kuna vituko kweli kweli huko motoni.
Masikini Marekani, kwa upuuzo wao (irresponsible weapon (gun) culture) basi watukanwe kimafumbo watu wa jamii nyengine kabisaaaaaaaaaaaaaaa, hata hakuna uhusiano.