Abood Bus jaribuni kua serious kidogo.

Planett

JF-Expert Member
Mar 20, 2014
10,424
15,976
Wakuu bila shaka mmeamka salama,

Back to the topic,
Hivi kampuni kubwa kama Abood mnatukalisha abiria zaidi ya saa zima na bado hatujui tutatoka saa ngapi kisa bus limekata belt? Tena afadhari ingekua tatizo limetikea porini ila ni mjini kabisa. Imagine mtu kaamua kukata tiketi bus bus la saa 9 usiku halafu hamuoneshi kujali wala nini.

Picha ni bus ambalo limetoka Arusha saa 9 ila kufika nje kidogo ya mji wa moshi limekatika belt na wahudumu hawana kauli za kistaarabu pale abiria wanapolalamika.
IMG20230923060449.jpg
 
Wakuu bila shaka mmeamka salama,

Back to the topic,
Hivi kampuni kubwa kama Abood mnatukalisha abiria zaidi ya saa zima na bado hatujui tutatoka saa ngapi kisa bus limekata belt? Tena afadhari ingekua tatizo limetikea porini ila ni mjini kabisa. Imagine mtu kaamua kukata tiketi bus bus la saa 9 usiku halafu hamuoneshi kujali wala nini.

Picha ni bus ambalo limetoka Arusha saa 9 ila kufika nje kidogo ya mji wa moshi limekatika belt na wahudumu hawana kauli za kistaarabu pale abiria wanapolalamika.
View attachment 2759049
Pole Mkuu.
Ni dharula tu ambayo wao pia hawakuitarajia. Haya mabasi mapya waweza kuta hata dereva hatembei na spea za dharura kama Belt, Bearing nk. Kawia ufike salama mkuu pole mno
 
Mh; ila abiria na sisi ni walalamishi. Sudden technical faulty kama hiyo sijui huyo Abood angefanya nini. Kwamba kila mahali gari litakapoharibikia kuwe na backup papo kwa papo? Vitu vingine uvumilivu unatakiwa.
 
Mh; ila abiria na sisi ni walalamishi. Sudden technical faulty kama hiyo sijui huyo Abood angefanya nini. Kwamba kila mahali gari litakapoharibikia kuwe na backup papo kwa papo? Vitu vingine uvumilivu unatakiwa.
tatizo sio gari kupata fault ila tatizo ni wahusika kushundwa kusolve tatizo kwa wakati
 
Back
Top Bottom