zedovish don
Member
- Mar 28, 2013
- 77
- 11
Ni katika wilaya ya TARIME MJINI ilikuwa ni tarehe 9/1/2014 majira ya saa 12;20 gari iliporejea katika stendi ya mabasi na kutoa taarifa katika kituo kidogo cha polisi mjini tarime kuwa kuna abiria kafariki ndani ya gari.
Abiria huyu alikadriwa kuwa na umri kati ya miaka 22 had 27 ambae jina lake halikufahamika alipanda gari katika kituo cha mabasi sirari alikata tiketi tiketi kutoka sirari kwenda jijini mwanza kwenye kumpuni ya usafirishaji ya ZAKARIA AIRBUS na baadae gari hilo lilifika Tarime mjini kwa ajili ya kuchukua abiria katika stendi kuu ya TARIME MJINI. Baada ya gari kuonda kama mita 200 na kondakta alipata taarifa juu ya maafa hayo na dereva kurudisha gari hadi stendi na kuushusha mwili wa marehemu hadi mochwari .
JAMANI INASIKITISHA SANA!!! ITZ TRUE
Abiria huyu alikadriwa kuwa na umri kati ya miaka 22 had 27 ambae jina lake halikufahamika alipanda gari katika kituo cha mabasi sirari alikata tiketi tiketi kutoka sirari kwenda jijini mwanza kwenye kumpuni ya usafirishaji ya ZAKARIA AIRBUS na baadae gari hilo lilifika Tarime mjini kwa ajili ya kuchukua abiria katika stendi kuu ya TARIME MJINI. Baada ya gari kuonda kama mita 200 na kondakta alipata taarifa juu ya maafa hayo na dereva kurudisha gari hadi stendi na kuushusha mwili wa marehemu hadi mochwari .
JAMANI INASIKITISHA SANA!!! ITZ TRUE