Ila tumekubaliana wazee walale ndani wasizungumzie hili suala la maandamano.
DAR ES SALAAM: MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi( CCM), mkoani Dar es salaam, Abbas Mtemvu amesema kwa pamoja wazee wa mkoa huo wameamua kuwa hawataruhusu maandamano yenye kuchochea vurugu kufanyika mkoani humo.
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni za mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM leo Oktoba 21, Mtemvu amesema wana Dar es Salaam wanataka maendeleo na sio maandamano.