inauma sana kuona kuwa kama kijana hana hela basi K kwake ni ndoto
inauma sana kuona watu wakidanganyika na mapenzi ya mbali
inauma sana pale mpenzi wangu anapo ninyima tigo
inaniuma sana pale mwanamke anapo nifanya nihangaikie K yake
inauma sana pale unapo kwenda kuchukua jibu kwa demu uliye mfukuzia siku nyngi, akakuzungusha na siku aliyokuahidi ukachuke jibu unakuta wametenga msiba kwako ukiuliza unaambiwa demu kafariki ghafla..........
KONGOSHO!!
We Acha Tu Hii Dunia Ina Wakaaji Wenye Roho Mbaya... Mpaka Sms Sijajibiwa!!
inauma xana umpendae hujawahi mwambia,
inauma xana kuwa na bint akilini unajua kabisa huna tyme nae, just part time
inauma saana demu ako anapochiti kwako kwa sababu ya hela,
inauma unaposhindwa kufanya mambo ya msingi kisa chapaa,
inauma pale mtu anashikilia maisha yako, anabana unashindwa kufanya mambo yako nakuua nikiwa na chance
Mwanangu Majigo mapenzi ni mapenzi hayana wakati wala nini usitafute sababu. Tofauti yetu nanyi ni kwamba hamtaki kujifunza wala kukubali ukweli. Zama zetu mtu akikutolea nje nawe unamtolea nje. Kwani ni yeye pekee duniani? Hali ni mbaya kwenu ambao nasikia wanaume wazima mnaitwa mabuzi nanyi mnakubali na kutenda kama mbuzi. Hata mbuzi wenyewe hawafanyi kama nyinyi ingawa ni hayawani. Nakutakia upone haraka na kustuka toka kwenye mapenzi hayo ya kibubusa na upwakizi mwanangu Majigo. Utakufa bure wakati si wako.