A strong economy starts with a strong middle class

Nimekuelewa. Je,sera yetu ya ya sasa kuhusu uendelezaji na ujenzi wa viwanda inasemaje? Ni lini ilipitishwa? Na tumeshaiangalia kwa undani kama ina tofauti na waliotangulia? Naomba andiko lake ili niweze kukushauri au kuchangia vizuri. Asante.
 
The middle class is never made, it evolves automatically from a series of positive fiscal policies. It combines education, a work ethic and an entrepreneurial spirit. It is killed by extortionary taxation and uneven playing fields.
 
The middle class is never made, it evolves automatically from a series of positive fiscal policies. It combines education, a work ethic and an entrepreneurial spirit. It is killed by extortionary taxation and uneven playing fields.

nadhani msemo wako una ndimi mbili, yaani unasema huwezi kutengeneza "middle class" lakini hapo hapo unasema ukiweka sera nzuri na mifumo mizuri ya kodi tabaka hili linaibuka.

nadhani huko ndiko kutengeneza kwenyewe kuwa tabaka hili unaweza kulitengeneza kwa kuweka sera nzuri na mifumo mizuri ya kodi na hivi visipokuwa vizuri basi unaweza kuua hata lile ulilokwisha tengeneza.
 
Nimekuelewa. Je,sera yetu ya ya sasa kuhusu uendelezaji na ujenzi wa viwanda inasemaje? Ni lini ilipitishwa? Na tumeshaiangalia kwa undani kama ina tofauti na waliotangulia? Naomba andiko lake ili niweze kukushauri au kuchangia vizuri. Asante.

ki msingi sera ni mwongozo unaotoa dira ya utekelezaji uweje hivyo kwa mtu wa kawaida hahitaji kutafuta makablasha kuyasoma bali kutizama kinachotekelezwa hizo ndizo sera. ingawa wanaweza kuandika tofauti na wakafanya tofauti lakini wanachotekeleza ndio sera sahihi.

lakini wahusika nahisi wamo kwenye mitandao hii hivyo ni vema tunapokuwa na dukuduku kama hizi watuwekee kwa kifupi sera zao zinasemaje na wanakoelekea ni wapi?
 
Mhh kumbe nawe hujaiona! Kwa namna post ilivyo, nilijua mletaji anaijua vyema sera ya viwanda ili tuijadili.
 
Leo 1.1.17 Star TV,kipindi cha tuongee asubuhi, mada:Kupanga ni kuchagua. Yupo Mama Getrude Mongela na wengine. Wanakiri sera ya viwanda haipo,na kama ipo haijaeleweka vizuri. Ametoa mifano mingi,na kasema yawezekana tumepanda gari moja huku tukienda sehemu tofauti,baadhi kinyume na mwelekeo wa basi. Tune Star Tv uipate live!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…