Unanikumbusha mbali kidogo wakat nakomaaa na bs na fundamental nkaambulia c,kwa ile pepa ilivokua wazi nlisema ngegonga A kali lakin wapiRout #1 Advance PCB
Rout #2 Clinical officer
Aisee asikuambie mtu rout no 2 ni fupi na nismooth kufika destination yako.
Rout no 1 ni ndefu na inamabonde na miinuko mingi muno, usitishwe na ufaulu wa olevel biology ya advance haitabiliki. Ni nyepesi kuisoma na kuilewa lakin sio kuijibia mitihani na hakuna kitu kupya utakachokisoma ambacho hujakisoma olevel.
Mpeleke akasome diploma hayo mengine yatafuata akishamaliza, tupo wengi ambao hata form 6 hatuijui.Nina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana (2015) na amepata division one ya point 12 na angependa sana kuwa daktari. Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, ipi ni njia sahihi kwake maana kuna option mbili:
1/ Aende A-level akasome PCB
Hili jambo linanitatiza sana, maana anaweza kwenda A-level na mambo yakawa sio mazuri sana (God forbid) na mwisho wa siku anaweza kuishia kupoteza miaka miwili au akajikuta anapelekwa kozi ambayo haitaki (tofauti na udaktari) chuo kikuu kutokana na performance yake.
2/ Diploma in Clinical Medicine
Nimpeleke akachukue diploma ya clinical medicine miaka mitatu maana ana qualifications zinazotakiwa (ana C ya Physics, B ya Chemistry na A ya Biology pamoja na A ya Basic Mathematics). Ambapo akimaliza ndo ajiunge na Doctor of Medicine (MD). Hii itakua imemsaidia kufuata njia yake anayoitaka bila kupoteza muda au kuhofia kufuata njia nyingine kutokana na performance ya kidato cha 6.
Msaada wenu wa mawazo na ushauri wadau tafadhali.
Mkuu hizo shule zilikuwa nzuri zamani sio kwa sasaushauri wangu kama atapangiwa shule nzuri kama kibaha,mzumbe,ilboru,tabora mwache aende akasome alevel,ila kama atapangiwa shule za kawaida ni bora umpeleke chuo tu
mpeleke diploma...ni njia ya uhakika!!!mi ni mhanga kwa hilo.....huwa najuta kwenda advance...!!!kwa sasa nipo diploma ya medicineMkuu hizo shule zilikuwa nzuri zamani sio kwa sasa
Mkuu hizo shule zilikuwa nzuri zamani sio kwa sasa
kwan hujajua lengo lake uyu mpuuziMdau umesoma vizuri lakini?
Mpeleke dogo akapge clinical officer maana kama umesoma PCB,kufeli advance ni rahc Sana maana kufaulu kwake o,level kusikupe moyo mm naamini PCB ni combination ngumu kuliko zote duniani kwa sababu inamasomo mengi unaweza kusoma mpaka kichwa kikataka kupasuka utasoma PCB Kila somo linapractical,bado BAM(basic applied mathematics) and GS(general study) pia kama dogo anatoka family maskin,anaweza faulu vzur tu lakin mambo ya TCU wakamutupa education au faculty nyngne ambayo haikuwa moyoni na ikawa ngumu kubadli lakin akipga clinical officer baadae ni direct MDNina mdogo wangu kamaliza form four mwaka jana (2015) na amepata division one ya point 12 na angependa sana kuwa daktari. Sasa naombeni ushauri wenu wakuu, ipi ni njia sahihi kwake maana kuna option mbili:
1/ Aende A-level akasome PCB
Hili jambo linanitatiza sana, maana anaweza kwenda A-level na mambo yakawa sio mazuri sana (God forbid) na mwisho wa siku anaweza kuishia kupoteza miaka miwili au akajikuta anapelekwa kozi ambayo haitaki (tofauti na udaktari) chuo kikuu kutokana na performance yake.
2/ Diploma in Clinical Medicine
Nimpeleke akachukue diploma ya clinical medicine miaka mitatu maana ana qualifications zinazotakiwa (ana C ya Physics, B ya Chemistry na A ya Biology pamoja na A ya Basic Mathematics). Ambapo akimaliza ndo ajiunge na Doctor of Medicine (MD). Hii itakua imemsaidia kufuata njia yake anayoitaka bila kupoteza muda au kuhofia kufuata njia nyingine kutokana na performance ya kidato cha 6.
Msaada wenu wa mawazo na ushauri wadau tafadhali.