80% ya wanaume Tanzania tunasomesha

80% ya wanaume Tanzania tunasomesha

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,285
Reaction score
39,490
Wanajukwaa hope mko fine, nitaenda direct kwa topic.

Wanaume wengi wamekuwa wakichochea kauli mbaya na za kukatisha tamaa sisi tunaosomesha, nasema mshindwe kwa jina la Yesu.

Kama wewe unamlipia demu wako pesa ya hostel, sijui chakula nk huko ndo kusomesha sasa, sio lazima ulipe ada.

Mimi binafsi namsomesha dada mmoja nilimzalisha 2016. Alikataa kutoa hatimaye alifukuzwa kwao akaenda kuishi na mama mdogo wake mpaka mtoto now kawa mkubwa.

Mzee wake alikataa kumsomesha hivyo mimi namsomesha japo sina feelings nae kabisa, but nasomesha kwa kuwa nilikatisha masomo yake na amenizalia handsome boy.

Kama umeamua kumsomesha mpenzi wako hata usiogope, wewe msomeshe. Fanya kwa moyo tu huwezi jua huyo unayemsomesha atakuja kuwa msaada kwako.

Achana na mambo ya watu sijui mpenzi/mke hasomeshwi. Hao wanaosema hivyo ndio wanasomesha.
 
Wanajukwaa hope mko fine, nitaenda direct kwa topic.

Wanaume wengi wamekuwa wakichochea kauli mbaya na za kukatisha tamaa sisi tunaosomesha, nasema mshindwe kwa jina la Yesu.

Kama wewe unamlipia demu wako pesa ya hostel, sijui chakula nk huko ndo kusomesha sasa, sio lazima ulipe ada.

Mimi binafsi namsomesha dada mmoja nilimzalisha 2016. Alikataa kutoa hatimaye alifukuzwa kwao akaenda kuishi na mama mdogo wake mpaka mtoto now kawa mkubwa.

Mzee wake alikataa kumsomesha hivyo mimi namsomesha japo sina feelings nae kabisa, but nasomesha kwa kuwa nilikatisha masomo yake na amenizalia handsome boy.

Kama umeamua kumsomesha mpenzi wako hata usiogope, wewe msomeshe. Fanya kwa moyo tu huwezi jua huyo unayemsomesha atakuja kuwa msaada kwako.

Achana na mambo ya watu sijui mpenzi/mke hasomeshwi. Hao wanaosema hivyo ndio wanasomesha.

Hangera mkuu ila kuna jambo usisaidie mtu kwa kutegemea kulipwa baadae yaani kama unavyosema unaemsomesha aje akusaidie ila jua kwamba mke,mchumba, hawala na demu hasomeshwi nasisitiza ila kama unafanya kumsaidia kama ulivyosema awali kuwa huna hisia hata ukikuta jamaa mwingine anakaza barida tu
 
Jambo jema kua sehemu ya kutimiza malengo yake. Shida hua mnataka output baadae
 
Usemalo ni kweli mkuu.

Wewe somesha lengo ni kumsidia tu.
Ila kama una malengo nae usiamini asilimia 100
Maana hapo ni kama ume Bet.

Hata wazazi pia wanapo somesha, huwa malengo ni yanamna mbili,
Unasomeshwa hili kusudi ukomboe familia na kuna kusomeshwa ili ujikwamue wew kama wew, coz mzazi anayo miladi ya kumtosha maisha yote.
 
Maneno mengine ni yale ya kijiwe nongwa. Mastori mengi kumbe akiwa ndani anatumia akili timamu.

Personally nilisomesha mtu na ninaapia hatokua wa mwisho.

Anyway hakuna machungu kama unamuuliza maswali unayemsomesha na unagundua humu hamna kitu so you are pretty sure unapoteza tu pesa but there is no stopping now coz yeye mwenyewe ndiye alitaka kusoma.
 
Unaambiwa mchumba/mke hasomeshwi hata kama ni VIDUDU( ada 3000 kwa mwezi)
Waswahili wamesema mimi ni nani hata nipinge.
 
Back
Top Bottom