8 Rules for a Healthy Vagina

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,273
cs-vaginal-health-rules-healthy-vagina-400.jpg
<img src="http://images.agoramedia.com/everydayhealth/gcms/cs-vaginal-health-rules-healthy-vagina-400.jpg" alt="">

Steps You Can Take to Protect Vaginal Health

All women should be concerned about their vaginal health. A healthy vagina is naturally acidic and contains rich quantities of beneficial bacteria that help fend off infections and maintain a normal pH level. A healthy vagina will also secrete small amounts of discharge to keep itself clean, much as saliva is produced to help cleanse your mouth. Any interference with these normal conditions, and you may face vaginal irritation or infection. Here’s how to keep your vagina healthy.

Wanawake tunatakiwa kuwa makini na afya ya vagina. Vagina yenye afya ina hali ya acidic na inahifadhi idadi ya bacterial ambao wanafaida kwetu kwakuwa wanatusaidia kupigana na maambukizi ya aina mbalimbali na pia kulinda hali ya alkaline pH. Vagina yenye afya nzuri pia itamwaga maji hii ni njia ya kujisafisha, kama mdomo unavyosafishwa na mate. Chochote kitakachoingiliana na hali hii ya vaginal itasababisha muasho na pia maambukizi.

1. Epukana na kusafisha vagina kwa kuloweka vagina kwenye maji, kwa muda mrefu (douching) wengine pia hutumia douching spray au sabuni, hii inaharibu pH levels na kuongeza mazingira ya acidic. Kawaida viginal inatakiwa kuwa na pH leves kati ya 3.8 - 4.5. Kama vaginal ina harufu kali na isiyofaa muone daktari, douching itapunguza harufu lakini sababu ya kuwepo kwa harufu hiyo inahitaji vipimo na dawa. Epukana na kutumia sabuni kali ndani ya uke na pia nje ya uke, hii pia inachangia kuchanganya kiwango cha pH.

2. Kula vyakula bora na vyenye afya, matunda na unywaji wa maji mengi ni siri ya kuwa na uke wenye afya. Yogurt na Cranberry juice pia vinasaida kulinda uke kutokana na yeast infection pia vitu hivyo huchangia tiba yake. Uke ukiwa mkavu sana, mazao ya soya yanasaidia kurekebisha hali hiyo.

3. Ni muhimu kutumia condomu wakati wa tendo la ndoa katika kulinda uke kutokana na magonjwa kama syphilis, gonorrhoea, genital warts, chlamydia, HIV na genital herpes. Magonjwa kama HIV na genital herpes hayana dawa mpaka sasa hivi, hata hivyo magonjwa kama HPV na genital warts yanaweza kusababisha cancer katika mwendelezo wake. Badilisha condom kutoka style moja kwenda nyingine, kwa mfano umeamua kufanya ora sex ukienda kwenye viginal or anal sex ni muhimu kubadili condom.

4. Jijengee utaratibu wa kumuona daktari wa wanawake (gynaecologist) angalau mara moja kila mwaka au kwa miaka miwili, usingoje mpaka upate tatizo.

5. Epuka kuwa na wapenzi wengi katika wakati mmoja, na pia kama umepata maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STD), hakikisha unamaliza tiba.

6. Epukana na matumizi ya Vaseline kama kilainishi, ni muhimu kumuandaa mpenzi wako au tumia lubricant jelly ambayo imepasishwa kwa matumizi ya binadamu. (kuna mkuu aliongea hili wiki iliyopita).

7. Usivae nguo za kubana sana, upe nafasi uke upate hewa, pichu za cotton ideally.

8. Ukiwa mwezini usikae muda mrefu bila kubadilisha taulo, hata kama flow siyo kubwa lakini baada ya masaa mawili/matatu ni muhimu kuweka taulo fresh. Kama ni wa kutumia toilet paper baada ya haja kubwa, jipanguse kutoka mbele kwenda nyuma, kuzuia maambukizi kwenye uke.
 
The illustration you have attached is irrelevant! You're talking about a healthy vagina, why putting a laughing woman!? Put a healthy vagina!
 
Hizi sred zako huwa nazipenda hasa unaposema kuna umuhimu wa kubadili ndomu. Kila siku napiga vita uvinza Na huu ni uthibitisho kuwa mate katika k ni sumu
 
Hizi sred zako huwa nazipenda hasa unaposema kuna umuhimu wa kubadili ndomu. Kila siku napiga vita uvinza Na huu ni uthibitisho kuwa mate katika k ni sumu
upload_2016-10-2_16-59-57.png
Actually a healthy body is slightly alkaline measuring approximately 7.4. This ideal blood 7.4 pH measurement means it is just slightly more alkaline than acid. The pH in the human digestive tract varies greatly (see Human Digestive Tract pH Range Chart on the left side). The pH of saliva is usually between 6.5 - 7.5.

Mkuu kwa maelezo hayo hapo juu mate hayana madhara kwenye uke, pH ya mate iko juu na inaweza kulinda bacteria, sema hatari ha maambukizi ya magonjwa kama genital herpes na wart.
 
na kuhusu sex inatakiwa itumike kivipi hujaelezea
masaa mangapi kwa mwaka maximum? maana kuna watu wamehamia huko
 
na kuhusu sex inatakiwa itumike kivipi hujaelezea
masaa mangapi kwa mwaka maximum? maana kuna watu wamehamia huko
Kama mnaaminiana mkuu ni ruksa tu kumbuka ni elastic ile haichakai pia sexual intercourse can reduce menstrual period pain, is good for your skin, gives you a relaxed sleep, makes you pregnant, faida ni nyingi ila inategemea unafanya na nani.
 
cs-vaginal-health-rules-healthy-vagina-400.jpg
<img src="http://images.agoramedia.com/everydayhealth/gcms/cs-vaginal-health-rules-healthy-vagina-400.jpg" alt="">

Steps You Can Take to Protect Vaginal Health

All women should be concerned about their vaginal health. A healthy vagina is naturally acidic and contains rich quantities of beneficial bacteria that help fend off infections and maintain a normal pH level. A healthy vagina will also secrete small amounts of discharge to keep itself clean, much as saliva is produced to help cleanse your mouth. Any interference with these normal conditions, and you may face vaginal irritation or infection. Here’s how to keep your vagina healthy.

Wanawake tunatakiwa kuwa makini na afya ya vagina. Vagina yenye afya ina hali ya acidic na inahifadhi idadi ya bacterial ambao wanafaida kwetu kwakuwa wanatusaidia kupigana na maambukizi ya aina mbalimbali na pia kulinda hali ya alkaline pH. Vagina yenye afya nzuri pia itamwaga maji hii ni njia ya kujisafisha, kama mdomo unavyosafishwa na mate. Chochote kitakachoingiliana na hali hii ya vaginal itasababisha muasho na pia maambukizi.

1. Epukana na kusafisha vagina kwa kuloweka vagina kwenye maji, kwa muda mrefu (douching) wengine pia hutumia douching spray au sabuni, hii inaharibu pH levels na kuongeza mazingira ya acidic. Kawaida viginal inatakiwa kuwa na pH leves kati ya 3.8 - 4.5. Kama vaginal ina harufu kali na isiyofaa muone daktari, douching itapunguza harufu lakini sababu ya kuwepo kwa harufu hiyo inahitaji vipimo na dawa. Epukana na kutumia sabuni kali ndani ya uke na pia nje ya uke, hii pia inachangia kuchanganya kiwango cha pH.

2. Kula vyakula bora na vyenye afya, matunda na unywaji wa maji mengi ni siri ya kuwa na uke wenye afya. Yogurt na Cranberry juice pia vinasaida kulinda uke kutokana na yeast infection pia vitu hivyo huchangia tiba yake. Uke ukiwa mkavu sana, mazao ya soya yanasaidia kurekebisha hali hiyo.

3. Ni muhimu kutumia condomu wakati wa tendo la ndoa katika kulinda uke kutokana na magonjwa kama syphilis, gonorrhoea, genital warts, chlamydia, HIV na genital herpes. Magonjwa kama HIV na genital herpes hayana dawa mpaka sasa hivi, hata hivyo magonjwa kama HPV na genital warts yanaweza kusababisha cancer katika mwendelezo wake. Badilisha condom kutoka style moja kwenda nyingine, kwa mfano umeamua kufanya ora sex ukienda kwenye viginal or anal sex ni muhimu kubadili condom.

4. Jijengee utaratibu wa kumuona daktari wa wanawake (gynaecologist) angalau mara moja kila mwaka au kwa miaka miwili, usingoje mpaka upate tatizo.

5. Epuka kuwa na wapenzi wengi katika wakati mmoja, na pia kama umepata maambukizi ya magonjwa ya zinaa (STD), hakikisha unamaliza tiba.

6. Epukana na matumizi ya Vaseline kama kilainishi, ni muhimu kumuandaa mpenzi wako au tumia lubricant jelly ambayo imepasishwa kwa matumizi ya binadamu. (kuna mkuu aliongea hili wiki iliyopita).

7. Usivae nguo za kubana sana, upe nafasi uke upate hewa, pichu za cotton ideally.

8. Ukiwa mwezini usikae muda mrefu bila kubadilisha taulo, hata kama flow siyo kubwa lakini baada ya masaa mawili/matatu ni muhimu kuweka taulo fresh. Kama ni wa kutumia toilet paper baada ya haja kubwa, jipanguse kutoka mbele kwenda nyuma, kuzuia maambukizi kwenye uke.
Nice
 
Kama mnaaminiana mkuu ni ruksa tu kumbuka ni elastic ile haichakai pia sexual intercourse can reduce menstrual period pain, is good for your skin, gives you a relaxed sleep, makes you pregnant, faida ni nyingi ila inategemea unafanya na nani.
kwaiyo hakuna madhara yoyote ya kusex sana?
 
kwaiyo hakuna madhara yoyote ya kusex sana?
No, fikiria ukijifunga natural birth motto anatokea kwenye vagina na inajirudisha yenyewe, hata ukimpata mwanaume mwenye tango inajimould kulingana na uume, unatapata maumivu siku ya kwanza ya pili yatatu umezoea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom