Ndege Tausi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 992
- 472
Hizo nafasi zilitangazwa mwezi wa sita. Mwanangu aliomba na ametumiwa fomu kupitia email yake inayomtaka kuijaza halafu kuituma pamoja na kutuma shilingi 15,000/- kwa mtu anayejiita MKURUGENZI anaitwa HERENA ANGWILILE kupitia namba yake ya simu+255652 763 570. Je hizi nafasi ni za kweli kwamba zipo Tanzania Red Cross Society au ni utapeli?
Naomba mnisaidie kabla watu wengi hawajaibiwa.
Naomba mnisaidie kabla watu wengi hawajaibiwa.