HIZO NI PESA ZILIZOTENGWA ILI KUWAKOPESHA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KWA WALE WALIOKOSA AWALI note kama hukupata incomplete application form na una vigezo mf,priority course,orphan and so far utapata na hata leo watu wengi wamepewa ila Hawa Wakurugenz wa HESLB wana vigezo vyao Rushwa tu, kwa xaxa lakini kesho kutakuwa na open CONFERANCE ambapo wizara ya Elimu {MULUGO},Wakurugenzi wa HESLB na Waziri mkuu watakuwepo kuzungumzia suala hilo la wanafunzi wa Elimu juu kukosa mkopo 23,300 na hapo wanatarajia kutoa ufafanuzi jinsi HESLB inavyojitaidi kukusanya fedha ili waweze kuwakopesha na wengine kama jana ungeenda HESLB walikuwa na kikao block no.5 na agenda kubwa ilikuwa ni jinsi gani wataweza kupunguza malalamiko ya waombaji mikopo,,subiri kesho utapata habari zaidi na KARIBUNI WOTE WANA JF KWNYE BIRTHDAY YANGU,GOD BLESS YOU bye
duuuh... ivi kwa nn wasingesema hii kodi ya line za simu inaelekezwa yote kwa heslb... ningeonah wana akiri sana
kama ni kweli pesa zmeongezwa,watapata wale wenye vipaumbele tu. Nitashukuru kama na mie ntakuwepo hapo. Nazisubir
kesho utapata thread ya kwel 7b watakuwa na kikao watasema kla kitu
naomba zako ww
HIZO NI PESA ZILIZOTENGWA ILI KUWAKOPESHA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KWA WALE WALIOKOSA AWALI note kama hukupata incomplete application form na una vigezo mf,priority course,orphan and so far utapata na hata leo watu wengi wamepewa ila Hawa Wakurugenz wa HESLB wana vigezo vyao Rushwa tu, kwa xaxa lakini kesho kutakuwa na open CONFERANCE ambapo wizara ya Elimu {MULUGO},Wakurugenzi wa HESLB na Waziri mkuu watakuwepo kuzungumzia suala hilo la wanafunzi wa Elimu juu kukosa mkopo 23,300 na hapo wanatarajia kutoa ufafanuzi jinsi HESLB inavyojitaidi kukusanya fedha ili waweze kuwakopesha na wengine kama jana ungeenda HESLB walikuwa na kikao block no.5 na agenda kubwa ilikuwa ni jinsi gani wataweza kupunguza malalamiko ya waombaji mikopo,,subiri kesho utapata habari zaidi na KARIBUNI WOTE WANA JF KWNYE BIRTHDAY YANGU,GOD BLESS YOU bye
hivi ni kwa nini wanafanya mambo chini chini? Si waseme kinachoendelea? MKUU nimeandikiwa eligible for loan but budget exhousted JE NAWEZA BAHATIKA?