3 ni za kwe2 simba!

New Manase

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
294
Reaction score
39
Mara ya kwanza yanga walishnda tatu lakini ilikuwa siyo hadhi yao.
 
Wamebana wameachiaaa..
.

Timu ya kwenye magazeti hiyo!! Yaan Waandishi wa Habari wamemgeuza Manji mgodi wanajichukuliaga hela hata kama wakiandika pumba!!!! Sasa kuna Al-ahly Klabu Bingwa wasipopigwa mkono huko sijui!!!!!!!!
 
Kweli kabisa kaka,ndala yake mchanga,mnyama yake nyama,kelele nyiingi wanaishia kuzimia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…