N New Manase JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 294 Reaction score 39 Dec 21, 2013 #1 Mara ya kwanza yanga walishnda tatu lakini ilikuwa siyo hadhi yao.
Queen Horse JF-Expert Member Joined Sep 12, 2013 Posts 414 Reaction score 317 Dec 21, 2013 #2 Wamebana wameachiaaa.. .
MFUKUZI JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 933 Reaction score 700 Dec 21, 2013 #3 Queen Horse said: Wamebana wameachiaaa.. . Click to expand... Timu ya kwenye magazeti hiyo!! Yaan Waandishi wa Habari wamemgeuza Manji mgodi wanajichukuliaga hela hata kama wakiandika pumba!!!! Sasa kuna Al-ahly Klabu Bingwa wasipopigwa mkono huko sijui!!!!!!!!
Queen Horse said: Wamebana wameachiaaa.. . Click to expand... Timu ya kwenye magazeti hiyo!! Yaan Waandishi wa Habari wamemgeuza Manji mgodi wanajichukuliaga hela hata kama wakiandika pumba!!!! Sasa kuna Al-ahly Klabu Bingwa wasipopigwa mkono huko sijui!!!!!!!!
K King j Member Joined May 4, 2013 Posts 9 Reaction score 1 Dec 21, 2013 #4 Kweli kabisa kaka,ndala yake mchanga,mnyama yake nyama,kelele nyiingi wanaishia kuzimia.