N New Manase JF-Expert Member Sep 24, 2013 294 39 Dec 21, 2013 #1 Mara ya kwanza yanga walishnda tatu lakini ilikuwa siyo hadhi yao.
MFUKUZI JF-Expert Member Mar 1, 2011 933 699 Dec 21, 2013 #3 Queen Horse said: Wamebana wameachiaaa.. . Click to expand... Timu ya kwenye magazeti hiyo!! Yaan Waandishi wa Habari wamemgeuza Manji mgodi wanajichukuliaga hela hata kama wakiandika pumba!!!! Sasa kuna Al-ahly Klabu Bingwa wasipopigwa mkono huko sijui!!!!!!!!
Queen Horse said: Wamebana wameachiaaa.. . Click to expand... Timu ya kwenye magazeti hiyo!! Yaan Waandishi wa Habari wamemgeuza Manji mgodi wanajichukuliaga hela hata kama wakiandika pumba!!!! Sasa kuna Al-ahly Klabu Bingwa wasipopigwa mkono huko sijui!!!!!!!!
K King j Member May 4, 2013 9 1 Dec 21, 2013 #4 Kweli kabisa kaka,ndala yake mchanga,mnyama yake nyama,kelele nyiingi wanaishia kuzimia.