Virus alikuwa kichaa. Typical TZ's lecturers
When you were sick, did you stop breathing? NO
Did you stop bathing? NO
Did you stop eating? NO
Then why did you decide to stop studying my course?
yeah ni movie kali ila hii iliyotoka mwaka mmoja baadaye ndo ilikuwa funika bovu huko india
Naipenda sana hii movie, nilikuwa siyo shabiki sana wa movie za kigabachory lakin hii ndo ikafungua pazia ,na tangu hapo nimekuwa nazifuatilia kila napopata nasafi.
Ni movie Nzuri inayoquestion status quo, ikijaribu kuchallange mfumo wa elimu ,wazazi kuingilia maamuz ya watoto katika masomo na mapenz pia.
Kama haujaiona itafute ,u will learn something I guarantee.
Naipenda sana hii movie, nilikuwa siyo shabiki sana wa movie za kigabachory lakin hii ndo ikafungua pazia ,na tangu hapo nimekuwa nazifuatilia kila napopata nasafi.
Ni movie Nzuri inayoquestion status quo, ikijaribu kuchallange mfumo wa elimu ,wazazi kuingilia maamuz ya watoto katika masomo na mapenz pia.
Kama haujaiona itafute ,u will learn something I guarantee.
angalia na prya imposuble pia nao ni mzuri sana. yuko mshakji anavumbua operating system halafu inaibiwaNaipenda sana hii movie, nilikuwa siyo shabiki sana wa movie za kigabachory lakin hii ndo ikafungua pazia ,na tangu hapo nimekuwa nazifuatilia kila napopata nasafi.
Ni movie Nzuri inayoquestion status quo, ikijaribu kuchallange mfumo wa elimu ,wazazi kuingilia maamuz ya watoto katika masomo na mapenz pia.
Kama haujaiona itafute ,u will learn something I guarantee.
Napenda movie za kihindi,....ila hawa majamaa kwenye hii movie nimeona kwenye mitandao kibao wanapondwa wamecopy na kupaste movie ya USA
Naipenda sana hii movie, nilikuwa siyo shabiki sana wa movie za kigabachory lakin hii ndo ikafungua pazia ,na tangu hapo nimekuwa nazifuatilia kila napopata nasafi.
Ni movie Nzuri inayoquestion status quo, ikijaribu kuchallange mfumo wa elimu ,wazazi kuingilia maamuz ya watoto katika masomo na mapenz pia.
Kama haujaiona itafute ,u will learn something I guarantee.