Give me some sunshine, give me some ways, give me another chance, wanna grow up once again. Na na na na!!!
Rastogi...... Mwoga wa maisha tehhhhhhh....... Then kuna jamaa price tag. Dahhh yule naye mwehuuuu
ehhhhh then kuna milimeter... Huyu naye kiboko kwa kuchekesha
ahahahah bila kusahau SILENCER
DAHHHHH JAMAA ANAKARIRI HUYO HATARI.....
Hahahaa silencer walimkomeshaje kwenye ile hotuba yake...?? Yan nilicheka hatari
acha masikhara na definition ya machine pamoja na book
aibu naona mimi
vipi pale walipozamia harusi?
Farhanization
prerajulization
daaahh wacha waanze kupekua vitabu
Hadi chake wakampora Dr virus ndio mtu anayemanage time kuliko wote dunia hii