28 July CHADEMA DAY

Pongezeni sana wana kamanda jitaidini tufanye mapinduzi jamani tumechoka sana tena sana
 
Naunga mkono hoja. Siku
ya kufariki kwa MPAMBANAJI Chacha Wangwe ni lazima ikumbukwe kila
mwaka.

hakika chacha wangwe alikuwa mpambanaji wa kweli ndani na nje ya chadema. inasikirisha sana kuona mtu anakufa kifo cha ajabu eti kwa kosa la kutaka tu kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chadema. kitendo hicho kilitafsiriwa kuwa ni uasi ndani ya chama na adhabu yake ni kifo
 
Sasa wangapi mtafika tarime kesho ili tushiriki wote mie ni mwanakamati
 
ulitabiri kuwa slaa atamuacha mke wa ndoa aje kumuoa dada yako ikawa .kweli mtabiri tehtehteh

Hiyo ndoa uliigunga wewe?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

ukitaka kutafakari nani anatakiwa kushutumiwa anza kuangalia Akina kolimba, kombe, chachage, na Mwangosi
 
ulitabiri kuwa slaa atamuacha mke wa ndoa aje kumuoa dada yako ikawa .kweli mtabiri tehtehteh

Umechungulia uzi wa madawa ya kulevya ukaukimbia. Rudi tena huko tusikie mawazo yako.
 
Buriani baba nyerere,buriani baba wa taifa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…