25,000tsh kupata local channels startimes!??

Mkuu unataka vya bule kama wale wabunge wakimbizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba unielekeze namna ya kujiunga na kifushi cha chini kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba unielekeze namna ya kujiunga na kifushi cha chini kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha chini kabisa ni lazima uwapigie customer care 0764-700800 then unawatajia account yko.. yani smart card namba yko.. then unamwambia akuhamishe ktk package ya chini ambayo ni 6,000 kama itakuwa imepanda basi ni 7,000...
Basi kuanzia hapo utakuwa unaweka hicho kiasi kila kifurushi kinapoisha.. kumbuka hicho kifurushi ni cha local channels tu zile channels zingine hupati.. ama utapata kidogo mnoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
King'amuzi kipi hichi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LOCAL CHANNELS SASA ZAANZA KUONEKANA KWENYE KISIMBUZI CHA STARTIMES... NIMEJARIBU KUKIWASHA KISIMBUZI CHANGU ASUBUHI HII.. ITS TRUE...

Walitaka kutujaribu... wale wa viherehere wa mwanzo imekula kwao waliopeleka kubadilishiwa kadi kwa 25,ooo ili wapate hizo local channnels..

Serikali hii no ubabaishaji,, kwa hili la sasa heko kwa TCRA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…