Morning Joy Motors
Member
- Jan 20, 2026
- 78
- 108
Kama kichwa ch habari kinavyojielezea, hii ni moja ya gari nzuri sana za mjapan amabzo kwa hivi karibuni zimeanza kutamba sana hapa nchini TANZANIA
2016 Toyota Harrier ni gari nzuri na inayoaminika kwa wengi kutokana na sifa zake za ubora wa hali ya juu sana.
Ijapokuwa huwa inakumbwa na maradhi hatari ikiwa utashindwa kufuata taratibu zake za utunzaji.
BEI NA UTARATIBU WA KUAGIZA
2016 TOYOTA HARRIER! Bei yake ikiwa utaagiza na @morning_joy_motors huwa ni TZS 54.7M, bei ikiwa imejumuisha pamoja na usajili.
Na ukilipia kiasi cha TZS 27.8MIL TU, utaagiziwa gari yako na kiasi kilichobakia utamalizia ndani ya muda wa miezi hadi 36.
Delivery Time: Baada ya malipo ni ndani ya siku 45 – 60 MAXIMUM hadi gari kuwa mikononi mwako.
VIPENGELE MUHIMU VYA 2016 TOYOTA HARRIER (ZSU60)
1. Utendaji wa Kazi & Utunzaji
Ina boot kubwa yenye 60/40 split-folding rear seats, ikiwa maalum kwa ajili ya mahitaji ya kifamilia.
2. Ufanisi wa Engine & Matumizi ya Mafuta
Ina 3ZR-FAE 2.0L Valvematic petrol engine, ambayo inakupa 151ps / 193Nm torque, balance ya uhakika yenye lengo la kukuwezesha kiurahisi kwenye mizunguko yako ya kila siku.
Smooth Transmission: Features a CVT transmission ambayo hutoa uendeshaji laini.
2.0L petrol engine hukupa matumizi mazuri ya mafuta zaidi ukilinganisha na model zilizopita. Baadhi ya watumiaji hudai kutumia mafuta ya takribani TZS 24,000/= kutembea hadi kilometa 100,
3. Interior & Practicality
Interior yake ni pana zaidi, ikiwa imeboreshwa legroom na headroom. Pia ina boot kubwa pamoja na siti
zinazoweza kukunjwa, na kwa model zingine huwa na boot ya kufunguka na kujifunga yenyewe.
4. Usalama
Hii gari inapokuja suala la usalama haiko nyuma sana kama zilivyo zingine. Inakuja ikiwa na:- Airbags sita
- Stability control
- Kwenye higher spec models kuna driver assist system
CHANGAMOTO ZA KAWAIDA ZA 2016 TOYOTA HARRIER ZSU60 NA NAMNA YA KUZITATUA
1. Matumizi Makubwa ya Engine Oil
Tatizo hili huwapata zaidi watu wanaotumia 2.0L 3ZR-FAE engine.Hutokana na high negative pressure kwenye intake pipe wakati wa kupunguza kasi, hali ambayo husababisha oil kunyonywa kwenye combustion chambers, na kusababisha oil kutumika kwa wingi.
Solution:
- Hakikisha unakagua mara kwa mara kiwango cha engine oil
- Tumia high quality synthetic oil
- Tatizo likizidi, inashauriwa kubadilisha piston rings
2. CVT Transmission Issues
Tatizo jingine kubwa la gari hii ni upande wa CVT transmission.Dalili zake ni pamoja na:
- Kutetemeka
- Kusitasita
- Kuruka gears
Hii hutokea pale ambapo transmission fluid imeharibika.
Solution:
- Hakikisha unakagua mara kwa mara
- Usikae muda mrefu bila kubadilisha CVT fluid
- Tumia specific CVT fluids
3. Kelele au Matatizo ya Suspension za Nyuma
Unaweza kusikia kelele kama za kutetemeka kutoka kwenye suspension za nyuma.
Tatizo hili linaweza kuashiria:
- Bush zilizochakaa
- Au wakati mwingine rear springs zilizokatika
Solution:
- Kagua mara kwa mara
- Badilisha bush au struts inapobidi
4. Kuvuja kwa Engine Oil
Haina tofauti sana na Subaru SJG, SHJ , hii yenyewe oil huanza kuvujishwa mara nyingi kutokea kwenye:
- Camshaft
- Crankshaft
Solution:
- Hakikisha unakagua engine bay mara kwa mara
- Badilisha seals mapema
Na hiyo ndiyo 2016 TOYOTA HARRIER ZSU60W.
Ukiweza kufuata masharti haya ya utunzaji, wala haiwezi kukusumbua.
KARIBU MORNING JOY MOTORS
Kuhusu Morning Joy Motors
Morning Joy Motors tunajihusisha zaidi na ushauri, uelimishaji pamoja na uagizaji wa magari kwa muda wa zaidi ya miaka mitano hadi sasa.Tunabeba dhamana kubwa ya ubora wa gari ambayo unaweza kuagiza kwetu kutokana na uzoefu wetu pamoja na ushirika wetu mzuri na wataalamu wa magari huko nje ambao kabla ya kulipia gari ni lazima waifuate na kwenda kuikagua kwenye kila eneo, kisha ndio kutupatia report ya kuendelea na utaratibu wa kuiagiza au la.
GUARANTEE
Tunakuhakikishia ubora na usalama wa hali ya juu sana.Na ikiwa sisi ndio tutakuchagulia gari na kisha likakuletea shida, kwa kuwa tumebeba dhamana ya ubora wa gari yako:
UTAIRUDISHA KWETU NA UTAREJESHEWA FEDHA YAKO 100% PAMOJA NA FIDIA!
Hii ni kwa sababu TUNAAMINI UBORA na UHAKIKA wa tunachokiagiza, na ndio maana tunajiamini kukupa ahadi hii.
Na haitakuwa kwa maneno tu bali kwa vitendo na maandishi ya kisheria kabisa.
KARIBUNI SANA
MAHALI TULIPO
TUPO MKOA WA ARUSHAKaloleni kwenye Jengo la Arusha Condo Hotel
Lilipopo mkabala na Shalom Church
Office Number 016
Ground Floor
SIMU: 0797113153
(WhatsApp & Normal)
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP
Kwa elimu mbalimbali kuhusiana na magari pamoja na uagizaji.Andika neno “MAGARI” kwenye WhatsApp number:
0797113153
Follow us on Instagram: @morning_joy_motors
Follow us on Facebook: Morning Joy Limited