johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Kauli za Yeriko na Mbowe zinathibitisha kauli iliyotolewa na Lyatonga kwamba Chadema ni Chama Cha wafanyabiashara na kwamba kilishindwa hata kutengeneza Katiba kikanunua ya Nccr mageuzi kutoka kwa Dr Amani
Nadhani sasa Mrema ameeleweka na wote ndio sababu WATOTO wa Bata wameenda kujihifadhi kwa Bilionea wa Bahari motors alhaj Hashim Rungwe wa Ujiji Kigoma
Nani alimpiga marisasi Tundu Lisu?
Mlale unono 😄
Nadhani sasa Mrema ameeleweka na wote ndio sababu WATOTO wa Bata wameenda kujihifadhi kwa Bilionea wa Bahari motors alhaj Hashim Rungwe wa Ujiji Kigoma
Nani alimpiga marisasi Tundu Lisu?
Mlale unono 😄