Duhh !!!
hahahaa, acha kushangaa toa pesa baba....9M...cash!...:A S-eek:
hahahaa, acha kushangaa toa pesa baba....9M...cash!...:A S-eek:
Contact : 0714 664361
Kaka hata namba kaficha. Labda wale watani zangu kutoka moshi wana mzuka na hizo gari.
bwashe hiyo gari ngumu kama mwamba!...ukiona gari anaipenda mchaga ujue hiyo ni gari ya maana, hauoni hata waalimu wastaafu wanaipenda ni kwa sababu haisababishi ugonjwa wa moyo! mkuu gwami g (pale mikumi ni guest yako?), nakupigia debe MANI au Zanzibar Spices (huyu ndugu wangu wa damu kabisa sema ana majungu tu..lol) wachukue gari hii, utanitoa hata ya "vocha" mkuu wangu!
Wachaga hawataki kwenda dukani kila mara eti.