Ushawahi sikia mtoto wa miaka 5, 10 au mtu Mzima ambaye ni Mkiristo amehifadhi Biblia?? Kama umewahi sikia nitumie reference na kama hujawahi sikia basi tafakari vizuri. Iweje ni Waislamu tu watokee na Vipaji vya kuhifadhi Quran yote na hata Bible??Enzi za miaka ya 1990s kulikuwa kuna mtoto anaitwa Sharifu hapa Tz nadhani alikuwa 5yrs or below alikuwa amehifadhi Msahafu wote. Na akipelekwa kwenye mihadhara. Naomba uchukue tahadhari unapozungumzia suala la devine power.
Au hujasikia manabii wa x-pel, na miujiza yao ya nguvu kweli kweli. Uzuri wa Biblia Yesu katufundisha njia rahisi ya kuwa ngamua. Njia hii ni matendo yao. Wewe ukiona Nabii/Mtume jua matendo yake na kuyatafakari.
Mfano Ibrahim ni maarufu kuwa Baba wa Iman sasa soma mambo yake kwenye hivi vitabu vitakatifu. Biblia inatufundisha jinsi alivyo kutana na Mungu, wakati mwingine na malaika. Sijawahi sikia au kusoma kuwa aliletewa ujumbe kutoka kwa Mungu kupitia jini/majini.
Ni hilo tu basi.
Na washawasha!
Reference zote ninazo kupatia ni BIBLE to BIBLE. hakuna hata reference moja ya BIBLE to QURAN. Mbona hauna Logic?Nakupa siri sasa, wakristo hatujichanganyi kwasababu tunatumia kitabu kimoja tu ambacho ni Biblia......nyie waislamu ndo mnajichanganya maana mnaichukua mistari ya biblia alafu mnaforce ilingane na Quran, mkiona hailingani mnakuja na kauli zisizo eleweka.......Mimi nakushauri mkuu Just stick to either Quran au BIble full stop
Kama huna jibu. Sema sina jibu. Hapana kubabaisha.Nakupa siri sasa, wakristo hatujichanganyi kwasababu tunatumia kitabu kimoja tu ambacho ni Biblia......nyie waislamu ndo mnajichanganya maana mnaichukua mistari ya biblia alafu mnaforce ilingane na Quran, mkiona hailingani mnakuja na kauli zisizo eleweka.......Mimi nakushauri mkuu Just stick to either Quran au BIble full stop
Ushawahi sikia mtoto wa miaka 5, 10 au mtu Mzima ambaye ni Mkiristo amehifadhi Biblia?? Kama umewahi sikia nitumie reference na kama hujawahi sikia basi tafakari vizuri. Iweje ni Waislamu tu watokee na Vipaji vya kuhifadhi Quran yote na hata Bible??
Kama huna jibu. Sema sina jibu. Hapana kubabaisha.
Ikiwa siku moja ina masaa mangapi????NDIYO...
Unashaka lolote
Nilijua tu, hapo umeongea mawazo ya quran yako.....alafu waislamu nawashangaa sana YESU kuwa mwana wa Mungu haimaanishi alizaliwa na MUNGU kama nyie mnavyofikilia, kuwa MWANA WA MUNGU hiko ni cheo alichopewa tu.....alafu mbona hata nyinyi allah wenu mnamwita mola mlezi??? Hii imekaajeKaka Yesu hatahukumu mtu yeyote yule. Hiyo sio kazi yake na wala sio sababu wa ujio wake. Ndio maana nimekwambia hujui sababu ya ujio wa Yesu.
Quran ina information zaidi kuhusu Bible yenu, Quran imekuja na mfumo wa Mungu Mmoja na HANA Mshirika wake, HANA mtoto wa kuzaa na Wala HAJAZALIWA. Mbona Biblia yenu iko completely opposite na hayo. Sasa Quran imeiga nini kutoka Biblia wakati ziko tofauti kabisa kiimani?
Mbona unazungumza vitu usivyo vielewa??
Ukisoma matendo ya mitume utaiona kazi ya huyu ROHO MTAKATIFU......Wewe jamaa mbona huelewi nmesema ROHO MTAKATIFU alishushwa kutuongoza kwenye ulimwengu wa kiroho.....YESU alivyokua duniani alikua anatufundisha kutokana uwepo wake kimwili duniani, sasa alipoondoka ndo akashuka rasmi ROHO MTAKATIFU ambae mpaka leo ndo anatuongoza wakristo katika ulimwengu wa kiroho, maombi nk.......alafu hao wanaosilimu mm sishangai maana YESU alishatuambia njia ya Uzimani inaonekana kwa wachache lakini ya upotevuni ni wengi.....hata mm nilikua muislamu Ila nikabadili dini baada ya kuujua ukweli wa YESU KRISTOHebu elewa swali vizuri kabla hujakimbilia kujibu. Kwa Mujibu wa Biblia ROHO mtakatifu alishuka mara kwa mara,hata siku yesu wanambatiza nae alishuka.
Sasa kama unasema alishuka wakati YESU yupo nae basi kulikuwa na maana gani YESU kusema "YANIPASA NIONDOKE MAANA NISIPOONDOKA HUYO ROHO WA KWELI HAWEZI KUJA". Huoni kuwa kauli zinagongana hapa???
Kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu ROHO wa kweli ni yupi????
Hujajibu SWALI.
pili,huyo roho ATAWAFUNDISHA NA KUWAMBIA YOTE,ambayo yesu hakuwambia,
sasa hebu tuonyeshe huyo ROHO mtakatifu aliyeshuka kwa wanafunzi wa yesu siku ya pentacoste aliwafundisha yote yapi na kuwaeleza yote yapi hayo?
Kaka, huna majibu hapo. Haya maswali Wameshindwa kujibu Mapadri wa kubwa matokeo wameukubali ukweli na Kusilimu tu. Au nikutumie video Links za Ahmed Deedat ujionee mwenyewe??
Logic is simple unasoma biblia sio kwa kulijua Neno bali kwa kuangalia kitu unacho kiita udhaifu kwenye biblia, ambapo siwezi kushangaa maana wewe ni MTU wa Imani tofauti......hata mm nikianza kuisoma Quran ntakuletea hapa mikanganyiko kibao tuReference zote ninazo kupatia ni BIBLE to BIBLE. hakuna hata reference moja ya BIBLE to QURAN. Mbona hauna Logic?
Siwezi babaika kwenye vitu navyovielewa.....Ila mm nashukuru waislamu mnaisoma na biblia maana mtatusaidia kutangaza injili kwa waumini wenu...........kuna kitu nilikua najiuliza, Yesu alisema mwisho hautakuja hadi injili ienee ulimwenguni Ila nlikua napata ugumu kwa nchi za kiislamu injili itaenea vipi, kumbe mmeanza kuhubiriana wenyewe kwa wenyewe huko misikitiniKama huna jibu. Sema sina jibu. Hapana kubabaisha.
Porojo tuQuran ni ile ile tokea wakati wa Mtume Muhammed(Rehma na Amani zimfikie) hadi hivi leo. Neno kwa neno. Kitabu ni hicho hicho kimoja. Sikiliza hiyo link ya BBC
Maneno ya Mungu hayabadiliki. Lazima mutafakari na muulize maswali wahubiri wenu.
Hahahaha hahahahahahaha alafu huo mstari mmeukomalia kweli waislamu, mkaamua mtoe neno ROHO MTAKATIFU kisha mkapachika neno ahmad, hivi kwanini mna force vitu yaani mnalazimisha Imani yenu ya majini iwe pamoja na Imani isiyoamini hivyo vitu........hivi huyo muhammad ana roho gani ya ukweli aya kabaka katoto kadogo masikini daaaah, alikua anagonga wafungwa wake daaaah yani sema tu imani imekutia upofu we jamaaHebu elewa swali vizuri kabla hujakimbilia kujibu. Kwa Mujibu wa Biblia ROHO mtakatifu alishuka mara kwa mara,hata siku yesu wanambatiza nae alishuka.
Sasa kama unasema alishuka wakati YESU yupo nae basi kulikuwa na maana gani YESU kusema "YANIPASA NIONDOKE MAANA NISIPOONDOKA HUYO ROHO WA KWELI HAWEZI KUJA". Huoni kuwa kauli zinagongana hapa???
Kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu ROHO wa kweli ni yupi????
Hujajibu SWALI.
pili,huyo roho ATAWAFUNDISHA NA KUWAMBIA YOTE,ambayo yesu hakuwambia,
sasa hebu tuonyeshe huyo ROHO mtakatifu aliyeshuka kwa wanafunzi wa yesu siku ya pentacoste aliwafundisha yote yapi na kuwaeleza yote yapi hayo?
Kaka, huna majibu hapo. Haya maswali Wameshindwa kujibu Mapadri wa kubwa matokeo wameukubali ukweli na Kusilimu tu. Au nikutumie video Links za Ahmed Deedat ujionee mwenyewe??
Uislamu au ukristo hauna msaada wowote kwa mwanadamu. Kujitambua hasa upo hapa duniani ili iweje?Quran ni ile ile tokea wakati wa Mtume Muhammed(Rehma na Amani zimfikie) hadi hivi leo. Neno kwa neno. Kitabu ni hicho hicho kimoja. Sikiliza hiyo link ya BBC
Maneno ya Mungu hayabadiliki. Lazima mutafakari na muulize maswali wahubiri wenu.
Hiyo kauli ni ya mtu mwenye uchache wa Elimu. Baada ya kukosa majibu anakimbilia kutafuta kashfa za kitoto. Hao majini basi ni wazuri, manake mamilioni ya waislamu wamehifadhi Quran na Biblia kwa pamoja. Hao majini wanaotupa Elimu ya Mungu wetu wa kweli ni Majini wazuri.Kwa kweli Mkristo aliye hifadhi Biblia kwa uweza wa Majini sijamsikia labda wewe mwenzangu umeshawahi msikia pahala? Maana sifa mojawapo ya huyu Sharifu nilie muelezea hapa ni kuwa na majini 1000 kama sijakosea. Na watu enzi hizo wakisema kwamba pengine ni mtoto wa jini.
Vilevile kama hutojali hebu tupe darsa kuhusu hawa viumbe wa Mola majini wana nafasi gani katika Uislamu?
Na washawasha!
Ili wema uwepo uovu hauna budi kuwepo mkuu. Usingeujua mchana kama usiku usingekuwako.Kweli ujinga na unafiki ni shida wakristo na waislam na wapagani wa sasa dini yetu ni moja tu jina lake ni UOVU kwa sababu tunafanana katika uovu ni muisilamu na mkristo lakini mwizi ni muisilamu na mkristo lakini tapeli ni muisilamu na mkristo lakini kahaba ni muisilamu na mkristo lakini fisadi ni muisilamu na mkristo lakini shoga for now muisilamu na mkristo ni sawa tu wote dugu moja OVU OVU tu akuna kitu hapo
Ni vizuri uwe kimya kama walivyokuwa Mapabdri wenu. Nyinyi Biblia munaibeba kama mzigo tu lakini hamuisomi wala hamuijui. Tafakari kaka, Dooms day is approaching. Jesus won't save you and no one can.Naona kampa kampa tena kama kawa.
Na washawasha!
Hiyo kauli ni ya mtu mwenye uchache wa Elimu. Baada ya kukosa majibu anakimbilia kutafuta kashfa za kitoto. Hao majini basi ni wazuri, manake mamilioni ya waislamu wamehifadhi Quran na Biblia kwa pamoja. Hao majini wanaotupa Elimu ya Mungu wetu wa kweli ni Majini wazuri.
Nyinyi ndio munao hao Mashetani wa kweli munaowapandisha kwa pesa huko kanisani kwenu wanapokuwa hao waokozi wenu Feki.
Mungu anekulea wewe na babu zako toka uzaliwe mpaka kufa kwako. Sasa unataka asipewe sifa yake??Nilijua tu, hapo umeongea mawazo ya quran yako.....alafu waislamu nawashangaa sana YESU kuwa mwana wa Mungu haimaanishi alizaliwa na MUNGU kama nyie mnavyofikilia, kuwa MWANA WA MUNGU hiko ni cheo alichopewa tu.....alafu mbona hata nyinyi allah wenu mnamwita mola mlezi??? Hii imekaaje
Bibilia zipo nyingi mno. Biblia ya kikatoliki ni tofauti kabisa na bibilia za kilokole, hata idadi ya vitabu ni tofauti.Yesu hakuteswa, alioa na kuzaa, mke wake alifahamika kama Maria Magdalena, hakuwahi kusema popote kuwa ni Mwana wa Mungu, alikuwa mweusi tii...
..kama ambavyo Mungai(r.I.p) alitaka kuifanya elimu ndivyo walivyogeuza na kupindisha biblia ila wenye kufuatilia tunazo biblia orijino, zenye injili ya Maria Magdalena, injili ya Yuda Eskalioti(yule waliyetudanganya kuwa alimuuza Yesu kwa euro sijui vipande vya mini)