Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
Ameeeen pole yake sana.
pole zake nitamfikishia................... umesiiliza lakini ule wimbo? ni mzuri sana, unafikirisha sanaaaa..............
ubarikiwe na Bwana
Nimeskiliza mpendwa,yani nimebarikiwa mpaka waliobarikiwa wanasema nimebarikiwa
1.
je wadau mbalimbali kama wazazi, ndugu, jamaa na marafiki na jamii nzima wana nafsi gani kuzuia janga hili ? na je wafanye nini?
Watu kibao huwanahangaika kupata watoto, wakishindwa wanaanza kulalamika.Badala yakukaa nakulalamika wa-Adopt watoto wanaorandaranda ili wajaze hizo nafasi zilizo wazi majumbani mwao.
at least umetoa wazo mbadala............... nashukuru sana.
ila unaonaje kwa mazingira na utamaduni wetu hapa tanzanzania, hayo mambo ya ku-adopt yanawezekana?............ mi naona kama most people wanajisikia proud zaidi kama wanazaa wenyewe na kutozaa naona watu wanaona kama balaa fulani hivi? we unaonaje hapo.............????????
Wala hamna cha ajabu, itakua sawa na watu wanavyochukuaga watoto wa ndugu zao nakuwalea.Na kama mtu hataki kuadopt unamlea tu bila kujiwekea kifungo, cha muhimu hapo ni kumpa mtoto nafasi yakuishi maisha ya kawaida .
Kuhusu watu kujiskia proud , kama hana uwezo wakuwa na huyo mwenye damu yake je???Hayo malezi aliyotaka kumpa wa kwake wa damu ampe mwingine ambae tayari yupo na kakosa malezi.