carcinoma JF-Expert Member Joined Mar 5, 2017 Posts 5,059 Reaction score 13,802 Apr 2, 2020 #21 Mimi huwa najiuliza tu specie wote mil 1.3 Noah aliwezaje kuwaweka kwenye safina.. tena kumbuka aliweka in pair inamaana ni 1.3mil × 2.. Hio safina ilikua na ukubwa gani??
Mimi huwa najiuliza tu specie wote mil 1.3 Noah aliwezaje kuwaweka kwenye safina.. tena kumbuka aliweka in pair inamaana ni 1.3mil × 2.. Hio safina ilikua na ukubwa gani??
Basi Nenda JF-Expert Member Joined Jul 29, 2017 Posts 20,789 Reaction score 47,987 Apr 2, 2020 #22 carcinoma said: Mimi huwa najiuliza tu specie wote mil 1.3 Noah aliwezaje kuwaweka kwenye safina.. tena kumbuka aliweka in pair inamaana ni 1.3mil × 2.. Hio safina ilikua na ukubwa gani?? Click to expand... safina ilipatikana wala haikuwa kubwa saana, ilikutwa juu ya mlima fulani but imefukiwa na udongo kama unavojua vitu vya zamani mfano miji ipo chini ya ardhi au baharini kuhusu viumbe nadhani mungu aliumba vipya kama kweli issue ya safina ni kweli Sent using Jamii Forums mobile app
carcinoma said: Mimi huwa najiuliza tu specie wote mil 1.3 Noah aliwezaje kuwaweka kwenye safina.. tena kumbuka aliweka in pair inamaana ni 1.3mil × 2.. Hio safina ilikua na ukubwa gani?? Click to expand... safina ilipatikana wala haikuwa kubwa saana, ilikutwa juu ya mlima fulani but imefukiwa na udongo kama unavojua vitu vya zamani mfano miji ipo chini ya ardhi au baharini kuhusu viumbe nadhani mungu aliumba vipya kama kweli issue ya safina ni kweli Sent using Jamii Forums mobile app