me niko na namba hii 0628... inasumbua sana halafu anaongea kimasai ananita mama yoyo,dah toka juzi na hizi stress za hapa na pale tunatafutiana lawama tu.
me niko na namba hii 0628... inasumbua sana halafu anaongea kimasai ananita mama yoyo,dah toka juzi na hizi stress za hapa na pale tunatafutiana lawama tu.
me niko na namba hii 0628... inasumbua sana halafu anaongea kimasai ananita mama yoyo,dah toka juzi na hizi stress za hapa na pale tunatafutiana lawama tu.
Asee jaman na mimi ni mhanga kuna namba inaanza 0693 Zipo mbili zinanibip mara nkipokea kimya af nkipiga cjui nimeekwa blacklist maana nkipiga inaita mara moja inakata ilazenyewe zinanipata. Msaada wakuu mandao gani huo???