05 Julai 2012!


Kama hivyo ndivyo fanya kupita tu Mkuu maana huna sababu ya kuchangia. Tuache sisi watumishi tunaokatwa kodi na hatupati hizo huduma za jamii tuchangie.
 

Ulichosema ni sahihi. Nimecross check na mume wangu ambaye ni mwalimu
 
Ikiwezekana Tugome wote tuwaunge mkono madaktari na walimu na sisi wenyewe pia waboreshe shule hospitali na waondoe mfumuko wa bei sababu ziko nyingi za Watanzania kuigomea hii serikali Dhaifu jamani tuhamasishane.

Akina mama tuliopanda "LABOUR" tunaelewa kuwa Uchungu kama huu lazima mtoto azaliwe. Jipeni moyo jamani.
 
Mgomo wa walimu ni hatari kama wa Madaktari kwa kustakabali wa taifa letu. Hawa jamaa wako kwenye mgomo siku nyingi mpaka serikali ikaamua kutaja kuwa div IV ni kufaulu kupunguza makali.
Tanzania mtoto wa masikini atazidi kuwa masikini
Madhara ya mgomo wa madaktari huwezi ulinganisha na walimu walimu wakigoma shule zina weza kufungwa kwa muda wa miezi miwili wakati wanatafuta suluhisho au wanaweza kuchukuliwa form six wakafundishe wakati wanatafuta sulluhisho je madaktari utawachukua wanafunzi waliosoma biology wakatibu wagonjwa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…